Mradi wa Kufua Umeme Rufiji (MW 2115) uchimbaji kina cha lango la kuingilia maji kwenye mitambo wakamilika

magufuri kaza mwendo tupo nyuma yako, Hii hapo hawajakuta madini kweli
 

Kipaumbele Cha umeme wa maji badala ya Gesi... Ni sawa na kuacha kutumia jiko la Gesi na kuanza kutumia jiko la mkaa....
 
Muwakumbuke na Wafanyakazi sasa. Yale madaraja yao yapande kwa wakati. Miaka zaidi ya 5 ya kuwaumiza kwa kisingizio cha kujenga hiyo miradi, inatosha. Na wenyewe wangependa waishi maisha bora kama wengine.
Hata akiongozewa mingine mitano, hatakaa atapandishe mishahara wala madaraja. Labda madaraja ya Kigongo kwa sababu maalum.
 
Muwakumbuke na Wafanyakazi sasa. Yale madaraja yao yapande kwa wakati. Miaka zaidi ya 5 ya kuwaumiza kwa kisingizio cha kujenga hiyo miradi, inatosha. Na wenyewe wangependa waishi maisha bora kama wengine.

Wafanye maamuzi magumu ya kumuacha mwajiri
 
Kipaumbele Cha umeme wa maji badala ya Gesi... Ni sawa na kuacha kutumia jiko la Gesi na kuanza kutumia jiko la mkaa....

Gas pekee haiwezi kuwa ndio njia sahihi ya kuzalisha nishati. Kuna upepo, Jua, makaa ya nawe etc. Hata nuclear ikibidi. Tuache kukariri mambo
 
Gas pekee haiwezi kuwa ndio njia sahihi ya kuzalisha nishati. Kuna upepo, Jua, makaa ya nawe etc. Hata nuclear ikibidi. Tuache kukariri mambo

Sijakataa hiyo njia mbadala wa kuzalisha umeme... Nimewaza tu kwamba teknolojia ya matumizi ya maji ni ya kizamani na matumizi ya Gesi Ni ya kisasa zaidi...
 
Nyinyi husapot kila kitu mwisho was siku nchi ni shit hole !!!! Chadema hupingwa kwakua huona mbali ?!?? Hivi tren ya moshi IPO!????
 
kaka Leo ni 4/6/2020/ mark my words nakupa miaka mitatu tuombe uhai hakuna pesa kujenga hiyo kitu ma wazungu wameshakataa kitoa pesa tatizo tatizo mnasoma Uhuru na mzalendo !!!??.
Hata watalii kipindi hiki cha Corona mlisema hawaji mwisho wa siku mkaumbuka
 
Nadhani baada ya BOT kushusha riba tarehe 13 may, hela itaongezeka mtaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…