dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Niko ziara ya kikaz mkoa wa arusha na nikatembele arusha Dc ndipo nikabaini upigaji wa kutisha kwenye mradi mmoja wa ufwetuaji wa tofauli za bloku
Kwanz nimebaini kuwa waliuziwa mtambo kwa bei ya juu ambao hadi sas hv haufanyi kaz tayari imearibika walinunua zaid ya milion. 120 mtambo ambao bei ya sokoni ni milion 20 tu unapata mpya
Kwanza nani aliwaambia madiwani kuwa mradi wa kupiga pesa utaingizia halmashuri mapato kama siyo upigaji huo wa kutisha mwenyekiti wa Council, madiwani, mkurugenzi na mchumi wa halmashauri wakamatwe haraka sna na kurudisha parent walio kula kuleta mradi wa hvyo
Namuomba mkuu wa mkoa atembeelee mradi huo na kuagiza wahusika wakamatwe na wafikishwe mahakamani kwa kuisabishia serekali hasara kubwa namna hyo
Mradi upo kata ya mlangarin katika viwanja vya pita redding kituo kinachoitwa kwa Roberth
Kwanz nimebaini kuwa waliuziwa mtambo kwa bei ya juu ambao hadi sas hv haufanyi kaz tayari imearibika walinunua zaid ya milion. 120 mtambo ambao bei ya sokoni ni milion 20 tu unapata mpya
Kwanza nani aliwaambia madiwani kuwa mradi wa kupiga pesa utaingizia halmashuri mapato kama siyo upigaji huo wa kutisha mwenyekiti wa Council, madiwani, mkurugenzi na mchumi wa halmashauri wakamatwe haraka sna na kurudisha parent walio kula kuleta mradi wa hvyo
Namuomba mkuu wa mkoa atembeelee mradi huo na kuagiza wahusika wakamatwe na wafikishwe mahakamani kwa kuisabishia serekali hasara kubwa namna hyo
Mradi upo kata ya mlangarin katika viwanja vya pita redding kituo kinachoitwa kwa Roberth