bongodili tele
JF-Expert Member
- Jun 8, 2024
- 1,520
- 3,022
Hata wawe na uraia wa nchi sita hatujali maadamu umuhimu wao kwa nchi.Ni watu wenye asili ya Tanzania na chimbuko lao ni hapa, hao wengine ni waarabu wana uraia wa nchi 2
Nchi zingine ukiwa mfanyabiashara mkubwa wanakuwa uraia kabisa walishatoka kwenye mambo ya uraia au si raia.
Mtu kama Dangote anapewa uraia