Mradi wa mabasi ya haraka BRT-UDAT wapewe akina Shabiby na Abood wauendeshe kwa faida

Naunga mkono hoja,
Wapewe tu 🙌👍
 
China angekula chuma zamani sana. 🙌👍
 
Ni kweli kabisa na wataiba mpaka wakose ya kuendeshea
Angalia stendi tu za mabasi wameshindwa kuziba mashimo, sio kwamba hela hakuna hapana waliisha zielekeza ila hazipo tena
Sijui kuna shida gani serikali kuwa wakali kwa haya mambo
Serikali zinazoweza mambo ya uchumi ni zile zinazowanyonga hadharani Wala rushwa na wabadhilifu bila kujali cheo Wala rangi yake,
 
Serikali zinazoweza mambo ya uchumi ni zile zinazowanyonga hadharani Wala rushwa na wabadhilifu bila kujali cheo Wala rangi yake,
Kwa waafrica bado hatujaamua ni mwendo wa kuiba na kubebana tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…