Mradi wa mabasi yaendayo kasi (BRT) na Dar es Salaam Rapid Transit (DART)

Mradi wa mabasi yaendayo kasi (BRT) na Dar es Salaam Rapid Transit (DART)

MANZESE DARAJANI
KUTOKA MAKTABA YETU:Manzese Darajani | Rundugai Blog
018.jpg


020.jpg
 
 
Last edited by a moderator:
Vp kwa maeneo ya Tazara ,gongolamboto kuna any known project similar to that?
anayefahamu tafadhali
 
mfano wa kituo, pata picha ya pale manzese


217861_464732153558276_1496298304_n.jpg
 
 
Last edited by a moderator:
[video=youtube;zlGd]http://www.youtube.com/watch?feature=endscreen&v=zlGd wC0N7A4&NR=1[/video]
 
Mbona hiyo barabara ya DART nyembamba sana yataweza kupishana au yatakuwa yanapishana kwenye vituo?
 
Haya ni Majibu ya Rais waliyemuita DHAIFU. Ukweli ni kuwa, JK Amefanya makubwa kuliko Awamu zote kwani ametumia fursa ambazo waliotangulia hawakuzipata. Kila kiongozi ana nyota na enzi yake. Nataja baadhi ya mambo ambayo yanaitwa ndoto. Daraja la Maragalasi 80bil, limekamilika kwa zaidi ya 70%, Daraja la Kigamboni 200bil, limeanza kujengwa, Bomba la gesi Mtwara dar for 2700MGW pamoja na kuingiza gesi majumbani mradi umeanza, Mradi wa liganga na mchuchuma ukikamilika 11trillion, umeanza, bara bara za lami 11,000 km nchi nzima awamu tofauti ujenzi unaendelea, Usafiri wa treni dar, october 1, ujenzi reli mpya Tanga, Musoma mkataba umesainiwa, Udom na maendeleo ya vyuo vikuu, Sekondari za kata zimeanza kufaulisha, na kuna listi kubwa ambayo inahusu kilimo, biashara nk. MNYONGE MYONGENI HAKI YAKE MPANI
 
Haya ni Majibu ya Rais waliyemuita DHAIFU. Ukweli ni kuwa, JK Amefanya makubwa kuliko Awamu zote kwani ametumia fursa ambazo waliotangulia hawakuzipata. Kila kiongozi ana nyota na enzi yake. Nataja baadhi ya mambo ambayo yanaitwa ndoto. Daraja la Maragalasi 80bil, limekamilika kwa zaidi ya 70%, Daraja la Kigamboni 200bil, limeanza kujengwa, Bomba la gesi Mtwara dar for 2700MGW pamoja na kuingiza gesi majumbani mradi umeanza, Mradi wa liganga na mchuchuma ukikamilika 11trillion, umeanza, bara bara za lami 11,000 km nchi nzima awamu tofauti ujenzi unaendelea, Usafiri wa treni dar, october 1, ujenzi reli mpya Tanga, Musoma mkataba umesainiwa, Udom na maendeleo ya vyuo vikuu, Sekondari za kata zimeanza kufaulisha, na kuna listi kubwa ambayo inahusu kilimo, biashara nk. MNYONGE MYONGENI HAKI YAKE MPANI

Well said Mkuu kibananhukhu, mwenye macho haambiwi tazama. Hata hivyo huna haja ya kuyataja yote hayo hapa kijiweni, sana sana utaambulia kejeli kwani wachangiaji wengi hapa wako kwenye laptop zao 24 hours na ni wachache wameyaona hayo uliyoyataja.

Tuseme kwamba, wengi wetu walikuwa na matarajio makubwa sana kutoka kwa JK zaidi ya hayo yaliyofanyika na hali halisi haiko hivyo.
 
Last edited by a moderator:
Well said Mkuu kibananhukhu, mwenye macho haambiwi tazama. Hata hivyo huna haja ya kuyataja yote hayo hapa kijiweni, sana sana utaambulia kejeli kwani wachangiaji wengi hapa wako kwenye laptop zao 24 hours na ni wachache wameyaona hayo uliyoyataja.

Tuseme kwamba, wengi wetu walikuwa na matarajio makubwa sana kutoka kwa JK zaidi ya hayo yaliyofanyika na hali halisi haiko hivyo.



Msisahau na usambazaji wa ARVs Feki nayo ni mafanikio makubwa sana
 
Vp kwa maeneo ya Tazara ,gongolamboto kuna any known project similar to that?
anayefahamu tafadhali

Hayo maeneo yatafikiwa na hiyo project 2036 according to the plan of the project bosi subiri kama utakuwa hai utenjoy hiyo service kama unaishi goms
 
Back
Top Bottom