Mradi wa mabasi yaendayo kasi (BRT) na Dar es Salaam Rapid Transit (DART)

Mradi wa mabasi yaendayo kasi (BRT) na Dar es Salaam Rapid Transit (DART)

Unaweza kuwa na hoja Mkuu Mshombsy lakini kumbuka, ukiwepo mfumo bora wa usafiri wa umma utashawishi watu wengi kuutumia badala ya kuendesha magari binafsi kila wanapokwenda kazini na hii itachangia kupunguza foleni zisizo za lazima.
Vilevile, inawezekana foleni isipungue sana hiyo itawaathiri wanaoendesha magari binafsi lakini kwa vile mabasi haya yanakuwa na njia yake maalum hutumia muda mfupi sana kufika katikati ya mji na yatapendelewa na watu wengi wanaokwenda kazini. tumeyaona kwenye treni za Mwakyembe.

Hizo fly-over mnazopendekeza zinasaidia lakini peke yake sio dawa ya foleni mjini, bali ni combination ya yatua mbalimbali ikiwemo kuboresha usafiri wa umma.

Ni kweli uyasemayo mkuu ila kumbuka hiyo inaenda sambamba na ujenzi wa maegesho nje kidogo ya mji, huduma kwa maana ya wingi wa hayo mabasi kuondoa kugombania kuingia.

Wengi wanapenda kupanda daladala lakini kero zake ndo shida. Mabasi yanayo challenge kubwa kwa utamaduni wa mweusi kutojua umuhimu wa mali za umma
 
Last edited by a moderator:
[h=3]HILI NDIO BASI LIENDALO KASI LILILO JARIBIWA JANA DAR[/h]

Chini ni basi liendalo kasi lililo jaribiwa jana kutoka ofisi za BRT eneo la ubungo plaza mpaka kimara likarudi mpaka kivukoni na kurudi tena ubungo.
Barabara ilionekana ipo safi na mabasi hayo yataanza kuitumia njia hiyo mwaka 2014 itakapokuwa tayari kabisa.

kitongoni: HILI NDIO BASI LIENDALO KASI LILILO JARIBIWA JANA DAR

 
Last edited by a moderator:
Taa barabarani zipo kila nchi lakini si barabara kuu. Naandika hii post nikiwa sipo nchini hivyo naelewa ninachokiongelea

Swala ni kujaribu kupunguza taa za barabari kadiri iwezekanavyo. Mfano uitaji mataa njiapanda segerea banana, huitaji mataa uwanja wa ndege, vingunguti, tazara na chang'ombe kwa mtu anayetoka G mboto kwenda posta.

Nimeona picha za ndani hayo mabasi naweza kukuhakikishia si ya mwendo kasi ni ya kipaumbele cha barabara kupita bila kuingiliwa. Ni muundo wa ya uwanja wa ndege.

yes zipo kila nchi,ndio maana nikauliza huko kusiko na taa ni MARS???pili jaribu kuelewa kwanza....hamna aliesema haya mabasi yatakuwa yanaenda kasi,yatakuwa rapid transit.....yanaenda haraka kwa sababu yana njia zake kwahio hayazuiwa na foleni.....naamini hata huko uliko mabasi ya abiria ndani ya mji hayaendi kasi.....so huko uliko mabasi haya ni ya uwanja wa ndege sio....haya mkuu wasalimie huko....
 
yes zipo kila nchi,ndio maana nikauliza huko kusiko na taa ni MARS???pili jaribu kuelewa kwanza....hamna aliesema haya mabasi yatakuwa yanaenda kasi,yatakuwa rapid transit.....yanaenda haraka kwa sababu yana njia zake kwahio hayazuiwa na foleni.....naamini hata huko uliko mabasi ya abiria ndani ya mji hayaendi kasi.....so huko uliko mabasi haya ni ya uwanja wa ndege sio....haya mkuu wasalimie huko....

Ni mabasi yanayotumika viwanja vya ndege kwasababu ni mwendo mfupi kubadilisha terminals hivyo watu watarundikana ndani hakuna kufunga mkanda na wanaosimama kuna kamba zinaninginia wanashika.

Ndo mwonekano wa ndani wa haya mabasi kama mojawapo inavyoonyesha.

ImageUploadedByJamiiForums1386466147.287369.jpg
 
Ni mabasi yanayotumika viwanja vya ndege kwasababu ni mwendo mfupi kubadilisha terminals hivyo watu watarundikana ndani hakuna kufunga mkanda na wanaosimama kuna kamba zinaninginia wanashika.

Ndo mwonekano wa ndani wa haya mabasi kama mojawapo inavyoonyesha.

View attachment 125529

nimekaa huko europe over ten years....haya mabasi yapo hata hilo uliloweka picha zake yanabeba abiria within a town/city

800px-London_Bendy_Bus_rear.jpg

bendy-bus.jpg

MerecedesCitaroDemonstratorFN09FWRI.jpg

metrobus_604.jpg
 
nimekaa huko europe over ten years....haya mabasi yapo hata hilo uliloweka picha zake yanabeba abiria within a town/city

800px-London_Bendy_Bus_rear.jpg

bendy-bus.jpg

MerecedesCitaroDemonstratorFN09FWRI.jpg

metrobus_604.jpg

Mkuu ngoja tuufunge mjadala tusubiri utekelezaji wake pengine ndo tunaweza kuchangia tukaelewana.

Sijakaa europe lakini pembe ya dunia niliyotembelea hayo mabasi ni ya mwendo wa polepole, tunapita na magari binafsi. Kama bongo itakuwa hivyo basi lengo linaweza lisititimie kama wengi tunavyotaka.

Mwisho: naomba nisionekane napinga ni kwamba nchi nyingi zenye hayo mabasi zina na barabara pia. Hivyo tunataka na upande huo uangaziwe
 
Mkuu ngoja tuufunge mjadala tusubiri utekelezaji wake pengine ndo tunaweza kuchangia tukaelewana.

Sijakaa europe lakini pembe ya dunia niliyotembelea hayo mabasi ni ya mwendo wa polepole, tunapita na magari binafsi. Kama bongo itakuwa hivyo basi lengo linaweza lisititimie kama wengi tunavyotaka.

Mwisho: naomba nisionekane napinga ni kwamba nchi nyingi zenye hayo mabasi zina na barabara pia. Hivyo tunataka na upande huo uangaziwe

hapo nadhani ndio hamjaelewana. kama alivyosema mdau, haya mabasi yanaitwa yaendayo kasi/ haraka sio kwa sababu yana speed 180 km/h
angalia video utajua nini maana ya BRT , na kuhusu mabas , mabasi yote ya abiria mijini yapo hivyo.


ANGALIA HILI PIA. hapa nipo seat ya nyuma, ya basi la kawaida (daladala) mjini shanghai
http://distilleryimage3.s3.amazonaws.com/24d7bd265afe11e3849f0a3c3a25f78e_8.jpg
 
 
Last edited by a moderator:
KUHUSU BRT
jifunze jinsi BRT inafanya kazi, na kwa nini wanaita mabasi ayendayo haraka, angalia vizuri video hii ammbayo imemuhusisha kila abiria kuanzia tozi mpaka kipofu au wenye ulemavu wowote, utaona wakati watu wapo kwenye foleni mabasi yanapita tuu na bila wasi wasi katika njia zao maalumu (BRT LANES)
pia jinsi ya kuvuka barabara na njia za mabasi kwa nini ni za zege, enjoy

 
Last edited by a moderator:
kama mlikua hamjui kwa nini vituo ni virefu hivi, niliona mahali watu wanalalamika kwamba wamejenga vituo kama nyumba, wanachezea tu hela, haha, sasa kwa nini vituo ni virefu hivi, na tunajua wamesema wanatumia mabasi ya aina gani na kituo kinatakiwa kisimamishe mabasi mawili kwa wakati mmoja. get a concept bellow


BUS STOP
60a31-photo1.jpg



BUSES


d27ae53c6b6311e38d8b123ef03b0884_8.jpg



3e59c3945a8f11e38f650ef2c0a0ec88_8.jpg



30415ae847ec11e3918b22000aeb45fa_8.jpg



79e7495c358411e3a04722000aeb1017_8.jpg



a7a2dc12194111e397c822000a1f8f8e_7.jpg



e68c975ee96e11e2af3c22000aa80233_7.jpg
 
KUHUSU BRT
jifunze jinsi BRT inafanya kazi, na kwa nini wanaita mabasi ayendayo haraka, angalia vizuri video hii ammbayo imemuhusisha kila abiria kuanzia tozi mpaka kipofu au wenye ulemavu wowote, utaona wakati watu wapo kwenye foleni mabasi yanapita tuu na bila wasi wasi katika njia zao maalumu (BRT LANES)
pia jinsi ya kuvuka barabara na njia za mabasi kwa nini ni za zege, enjoy

Asante kwa video, ila kama brt dar es salaam wangeandaa video ya Kiswahili ingekuwa vizuri zaidi hasa kwa wengi ambao hawajawahi kutumia aina hii ya usafiri
 
Back
Top Bottom