Mradi wa mabasi yaendayo kasi (BRT) na Dar es Salaam Rapid Transit (DART)

Mradi wa mabasi yaendayo kasi (BRT) na Dar es Salaam Rapid Transit (DART)

mswahili na taratibu ni vitu viwili tofauti....
Aina hii ya usafiri huendana sana na utaratibu na maelekezo...hapo ndipo tabu yangu ipo.

hahahha, kweli. Lakini mtu akigongwa kwa kutofuata sheria za barabarani huo ni uzembe wake.
 
10001454_525388774236118_1357972326899884234_n.jpg
 
Last edited by a moderator:
Haya ni yale yale tunayoambiwa kila siku: Upembuzi yakinifu umefanyika, mtaalam mshauri amepatikana, mchakato wa zabuni unaendelea, wafadhili/wadau wa maendeleo wameonyesha nia, benki ya dunia imetoa "no objection" n.k. yetu macho!
It was your comment in 2011 concerning DART, three years ago... Do you have different comments now, or just the same?!
 
inavutia sana!!
Tumuache Engineer aitwe Engineer... namshukuru Mungu huwa naheshimu taaluma za watu manake watu tulishaanza kubishana hapo kale kwamba haiwezekani.... kwamba eti si rahisi kubomoa mijengo yote ile City Centre! UKiwauliza ina maana hao waliosema barabara zitapita City Centre hadi Ferry ni vichaa... kitkachofuata hapo ni kutoa majibu mepesi mepesi!!!
 
Tunza usemi wangu: DART haitapunguza foleni za magari Dar na haitaenda na kasi ya wingi wa watu Dar. Unaweza ukawa mzigo kiuchumi na kurudisha gharama ikawa ngumu. Gharama zilizotumika zilitosha kutengeneza makutano yote ya barabara Dar na kuondoa taa zote barabarani, kwa waliobahatika kutembea dunia watakubaliana na mimi
Technically, lengo la BRT sio kupunguza foleni bali kurahisisha public transport na kuwafanya wanaotumia public transport kuwahi wanakoenda. Suala la kupunguza foleni litafuata baadae kutokana na efficiency ya BRT na people's mentality. Efficiency kwamba, kwa kuwa BRT wanatumia barabara zao ambazo haziingiliani na magari mengine, expectation ni kutokuwa na foleni na hivyo kuwafanya watu wawahi kule waendako. Sasa ikiwa watu wanaweza kuwahi waendako, na ikiwa kutakuwa na mabasi ya kutosha na hivyo kutosababisha msongamano ndani ya gari, hiyo itawafanya baadhi ya watu wenye magari binafsi kuacha magari yao nyumbani angalau mara moja kwa wiki! Hata hivyo, watakaoacha nyumbani si wale ambao walinunua magari kama ishara ya ufahari bali ni wale ambao walinunua magari ili kuepekuna na kero za daladala jijini... kwamba, unapanda daladala ambalo unaminywa ile mbaya uwapo ndani lakini wakati huo huo inakaa kwenye foleni saa kadhaa! Hawa ni wale ambao walinunua magari na kuamua kama ni kukaa kwenye foleni basi wakae wakiwa comfortable. Hivyo basi, ikiwa kutakuwa na some degree of "comfortability" kwenye hayo magari, basi wapo watakao-opt kutumia BRT hata kama occasionally na kuacha gari zao nyumbani!Kuhusu mradi kutokuwa na uwezo na kwenda na kasi ya ongezeko la watu... you're right! BRT peke yake haiwezi kuwa suluhisho... this's just one of the option na ndio maana hata huko kwa wenzetu nako kuna alternative means kv flyovers, city trains, multiple lanes n.k!
 
It was your comment in 2011 concerning DART, three years ago... Do you have different comments now, or just the same?!
Ni miaka mingapi toka 2011 na je, uzinduzi tayari? Unajuaje kama deni la Taifa limepaa kufadhili Mradi huu badala ya kusubiri wahisani!
 
Tumuache Engineer aitwe Engineer... namshukuru Mungu huwa naheshimu taaluma za watu manake watu tulishaanza kubishana hapo kale kwamba haiwezekani.... kwamba eti si rahisi kubomoa mijengo yote ile City Centre! UKiwauliza ina maana hao waliosema barabara zitapita City Centre hadi Ferry ni vichaa... kitkachofuata hapo ni kutoa majibu mepesi mepesi!!!

Kama kawaida yao Wabongo wameshaanza, wadai kuna ufisadi eti upana wa barabara umepunguzwa! Kuna uzi huku, NIPASHE wanadai walikwenda kupima sehemu moja kule Kimara na upana ni pungufu ya ule unatakiwa kisheria, eti huu ni 'Ufisadi wa Magufuli'
 
Kama kawaida yao Wabongo wameshaanza, wadai kuna ufisadi eti upana wa barabara umepunguzwa! Kuna uzi huku, NIPASHE wanadai walikwenda kupima sehemu moja kule Kimara na upana ni pungufu ya ule unatakiwa kisheria, eti huu ni 'Ufisadi wa Magufuli'
I am very certain kwamba hujamaanisha ulichoongea but let me ask you a question. Suala la wembamba wa hiyo Morogoro Rd linatokana na Engineer au Client? I am not an Engineer lakini akili ya kawaida inanishawishi kuamini kwamba, Engineer atakujengea kitu basing on the value of your money! Kama client ame-finance 3 m lane, there's no way Engineer ataongeza even one addition inch! Aongeze addition inch kwa expense ya nani? Should she bear those additional costs? Anyway, let me check the proposed post coz' cjaiona na hilo Nipashe cjasoma... nikiangalia maelezo yake ndipo naweza ku-conclude ni tatizo la nani!!
 
14345011880_b738500669_b.jpg



I had hopes the bus lanes would be painted red or green, a great chance to pretty up DAR has been missed.
14345079568_9b615a55ba_b.jpg



they thought i was a news reporter!lol!
14345190217_d84c9a1cb3_b.jpg



best road in EA by far,very nicely done,though more could be done.


14345041509_fb8bd5f47f_b.jpg



wajasiria mali waombe tenda za kusafisha hizi barabara kabla hazijageuga kichaka cha vumbi.


does anyone know who will be incharge of VRT infrastructure maintenance?


14551778133_392e9ee1e6_b.jpg
 
I had hopes the bus lanes would be painted red or green, a great chance to pretty up DAR has been missed.
they thought i was a news reporter!lol!
best road in EA by far,very nicely done,though more could be done.


wajasiria mali waombe tenda za kusafisha hizi barabara kabla hazijageuga kichaka cha vumbi.


does anyone know who will be incharge of VRT infrastructure maintenance?

Thanks Mkuu for updates, naona some finishing work is pending, there will be a layer of asphalt on top of the concrete, then paintings if any will be completed.
 
Back
Top Bottom