Mradi wa Maji Kigamboni waendela kuleta ahueni

Mradi wa Maji Kigamboni waendela kuleta ahueni

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
790
Reaction score
964
Mradi wa Maji Kigamboni waendela kuleta ahueni.

Tangu kuzinduliwa kwa mradi wa maji Kigamboni maeneo mablimbali ambayo hapo awali yalitegemea maji kwa mgawo tangu kutokea ukame mwezi Oktoba,2022 yameanza kupata maji. Wanufaika wa kwanza walikuwa wakazinwa Kigamboni Ferry, Navy, maeneo ya Mivinjeni, Kurasini, Magomeni, Fire na mengine jirani.

Hivi sasa msukumo wa maji hayo unaendelea kuimarika katika maeneo ya katikati ya jiji yameanza kupata maji.

Tumeshuhudia maji kufika katika maeneo ya Kariakoo, India clock tower, Azikiwe, Nkurumah, Mtaa wa simu nk.

Pia msukumo wa maji unaendelea kuongezeka katika mitaa ya Mkwepu na Hindu Mandal ambapo bado pressure ilikuwa ndogo mwandishi wetu alipopita.

Mwandishi wetu ameshihidia kazi ya kufuatilia maji haya na kutoa upepo ili kuyaruhusu kupita ikiendelea usiku na mchana.
 

Attachments

  • Screenshot_20221117-125815.jpg
    Screenshot_20221117-125815.jpg
    48.2 KB · Views: 4
  • Screenshot_20221117-125742.jpg
    Screenshot_20221117-125742.jpg
    69.2 KB · Views: 4
Hakika Makali ya ukosefu wa Maji katika Jiji la DAR es salaam hali imezidi kuimarika Hongera sana Waziri wa Maji Mhe. Aweso ujalala usiku na Mchana kuhakikisha Maji yanapatikana Jijini DAR
 
Kwa kweli sisi wakazi wa kigamboni hu mradi umerusaidia sana sasa kilio cha maji kigamboni kweru kimeisha
 
Waandishi wa habari nendeni Kigamboni kata zote mkaongee na wananchi kama wanaujua huu mradi, timizeni kazi yenu.
 
Ilala Bungoni hatujapata maji zaidi ya wiki tatu sasa.
Tunaokolewa na wenye visima.
Leo wameamuwa kutukomesha. Umeme hakuna tangu asubuhi. Na maji ndiyo hatupati.
 
Ilala Bungoni hatujapata maji zaidi ya wiki tatu sasa.
Tunaokolewa na wenye visima.
Leo wameamuwa kutukomesha. Umeme hakuna tangu asubuhi. Na maji ndiyo hatupati.
Tatzo bungoni mnakaa sana wamachinga
 
Mradi wa Maji Kigamboni waendela kuleta ahueni.

Tangu kuzinduliwa kwa mradi wa maji Kigamboni maeneo mablimbali ambayo hapo awali yalitegemea maji kwa mgawo tangu kutokea ukame mwezi Oktoba,2022 yameanza kupata maji. Wanufaika wa kwanza walikuwa wakazinwa Kigamboni Ferry, Navy, maeneo ya Mivinjeni, Kurasini, Magomeni, Fire na mengine jirani.

Hivi sasa msukumo wa maji hayo unaendelea kuimarika katika maeneo ya katikati ya jiji yameanza kupata maji.

Tumeshuhudia maji kufika katika maeneo ya Kariakoo, India clock tower, Azikiwe, Nkurumah, Mtaa wa simu nk.

Pia msukumo wa maji unaendelea kuongezeka katika mitaa ya Mkwepu na Hindu Mandal ambapo bado pressure ilikuwa ndogo mwandishi wetu alipopita.

Mwandishi wetu ameshihidia kazi ya kufuatilia maji haya na kutoa upepo ili kuyaruhusu kupita ikiendelea usiku na mchana.
Naona mmeamua kuhudumia mjini kati kwanza na
Mradi wa Maji Kigamboni waendela kuleta ahueni.

Tangu kuzinduliwa kwa mradi wa maji Kigamboni maeneo mablimbali ambayo hapo awali yalitegemea maji kwa mgawo tangu kutokea ukame mwezi Oktoba,2022 yameanza kupata maji. Wanufaika wa kwanza walikuwa wakazinwa Kigamboni Ferry, Navy, maeneo ya Mivinjeni, Kurasini, Magomeni, Fire na mengine jirani.

Hivi sasa msukumo wa maji hayo unaendelea kuimarika katika maeneo ya katikati ya jiji yameanza kupata maji.

Tumeshuhudia maji kufika katika maeneo ya Kariakoo, India clock tower, Azikiwe, Nkurumah, Mtaa wa simu nk.

Pia msukumo wa maji unaendelea kuongezeka katika mitaa ya Mkwepu na Hindu Mandal ambapo bado pressure ilikuwa ndogo mwandishi wetu alipopita.

Mwandishi wetu ameshihidia kazi ya kufuatilia maji haya na kutoa upepo ili kuyaruhusu kupita ikiendelea usiku na mchana.
Charity begins at home mnaacha kutupa maji baadhi ya maeneo watu wa kigambon mnapeleka kwingine daaaah
 
Huu upumbavu mnaotumwa kuuleta hapa ndio unafanya watu kuichukia sana serikali. Mnaendekeza propaganda badala ya kutatua tatizo, eti msukumo wa maji unanendelea taratibu.. pumbavu
 
Juma awezo anabwabwaja maneno mengi. Yasiyokuwa na maana kumsifia rais kumfananisha na nabi
 
Back
Top Bottom