Kinyambiss,Watu ni wapumbavu sasa kujenga apartment ndio ufisadi? Ever heard of a F**K*N BANK? Yani hii JF imekuwa choo cha baa..
Mods, mnaonaje kama huyu Kinyambiss akipigwa ban? Hivi great thinker anashindwa kutumia hekima yake ya u great thinker kujenga hoja ya kutetea au kuchochoa hoja iliyoko mezani anakuja na kauli za hovyo hovyo kama hivi? Mungu wangu!! Huu siyo ustaarabu kabisa. Ulipaswa ujenge hoja kutetea kauli yako badala ya kuvurumisha matusi. Na iwapo JF ni choo cha baa, uende zako, hakuna aliyekuita humu!Watu ni wapumbavu sasa kujenga apartment ndio ufisadi? Ever heard of a F**K*N BANK? Yani hii JF imekuwa choo cha baa..
Mods, mnaonaje kama huyu Kinyambiss akipigwa ban? Hivi great thinker anashindwa kutumia hekima yake ya u great thinker kujenga hoja ya kutetea au kuchochoa hoja iliyoko mezani anakuja na kauli za hovyo hovyo kama hivi? Mungu wangu!! Huu siyo ustaarabu kabisa. Ulipaswa ujenge hoja kutetea kauli yako badala ya kuvurumisha matusi. Na iwapo JF ni choo cha baa, uende zako, hakuna aliyekuita humu!
Sasa ufisadi ukowapi?? Hii heading ni defamatory kwasababu hakuna ushahidi.. infact hakuna ata accusation ya maana.. Kujenga apartment ndio ufisadi??? Au kufanya project ya 10million dollars ndio ufisadi? Kwanini alieleta thread hajaongelea funding jamaa katoka wapi..ameconclude kabla hajatoa ushahidi wowote ata theoretical..lol That is too weak and too speculative ndio maana inakera watu wakiandika vitu vya hovyo namna hii. I'm just saying.
Sasa ufisadi ukowapi?? Hii heading ni defamatory kwasababu hakuna ushahidi.. infact hakuna ata accusation ya maana.. Kujenga apartment ndio ufisadi??? Au kufanya project ya 10million dollars ndio ufisadi? Kwanini alieleta thread hajaongelea funding jamaa katoka wapi..ameconclude kabla hajatoa ushahidi wowote ata theoretical..lol That is too weak and too speculative ndio maana inakera watu wakiandika vitu vya hovyo namna hii. I'm just saying.
I will side with you on this one. Mtoa mada kasha fikia conclusion bila kuelezea kwa nini anadhani ni ufisadi na hata hilo file alilotoa which I'm assuming ndiyo "ushahidi" wake haufunguki. I think most people are just surprised as to how you replied....as if it has touched you personally. Other than that ukijibu calmly I think you raised a very good point.
Touche.. Well said, and I agree. I just get extremely agitated at times when I see such illogical suggestions. It is a tad beyond disappointment. I am undergoing therapy for it (not really) lol.. But I agree and retract any insult to members (poster notwithstanding ) 🙂
Kinyambiss,
Ningekuomba na wewe uende benki tuone utajenga apartments ngapi. Ukishafanya hivyo rudi hapa ututukane sote kuwa ni wapumbavu.
ufisadi unaanza kwenye kupata kiwanja hapo Sea View, mimi nimetafuta saana kiwanja hapo to 1980 kabla alhaji hajawa Rahisi sikupata kiwanja.
Waziri wa Ulinzi ni mtumishi wa serkali.Hata mkopo wa 10 billioni it is too much!
Kinyambiss huwezi kutetea huu ufisadi!eti mkopo?Oh my God!
Je mtu wa kawaida unaweza kupata mkopo huo,if so?
Mwanzilishi wa hii thread,fungua hili file tuone majambo.
Jamani hii nchi.Kila tukiamka tunasikia ufisadi mpya.Duu!
Waziri wa Ulinzi ni mtumishi wa serkali.Hata mkopo wa 10 billioni it is too much!
Kinyambiss huwezi kutetea huu ufisadi!eti mkopo?Oh my God!
Je mtu wa kawaida unaweza kupata mkopo huo,if so?
Mwanzilishi wa hii thread,fungua hili file tuone majambo.
ufisadi unaanza kwenye kupata kiwanja hapo Sea View, mimi nimetafuta saana kiwanja hapo to 1980 kabla alhaji hajawa Rahisi sikupata kiwanja.
Thats good but not the other one.Sasa ufisadi ukowapi?? Hii heading ni defamatory kwasababu hakuna ushahidi.. infact hakuna ata accusation ya maana.. Kujenga apartment ndio ufisadi??? Au kufanya project ya 10million dollars ndio ufisadi? Kwanini alieleta thread hajaongelea funding jamaa katoka wapi..ameconclude kabla hajatoa ushahidi wowote ata theoretical..lol That is too weak and too speculative ndio maana inakera watu wakiandika vitu vya hovyo namna hii. I'm just saying.
Kwani kila anayewekeza ni fisadi? Did you check where he got the money?
Banks are nowadays available and they are offering loans. Before you just blame estblish source of funds and hence come with your topic, as far as this is it now, looks myopic!