Chanazi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2010
- 212
- 64
Katikati ya eneo la Kitungwa na Nanenane MOROGORO kuna huu mradi wa Star City wenye Viwanja vingi ambavyo havija endelezwa kwasababu mbalimbali! Serikali ya mkoa iingilie kati kwa manufaa ya wengi kwani eneo hilo sasa ni tishio la usalama! Eneo limekua
1. Maficho ya Wezi, Eneo hili linatishia usalama wa wakazi wa karibu kwa kutumika kufuga wezi na kua maskani ya uharifu.
2. Kuzuia maendeleo ya Mji, eneo la mradi wa StarCity ni eneo kubwa lililopo takribani kilometer 8 tu kutokea katikati ya Mji, pori hili linakosa maendeleo kwasababu wamiliki wa mradi wana uza maeneo kwa masharti magumu na bei kubwa hali inayo sababisha kudorola kwa maendeleo eneo hilo kubwa!
3. Migogoro Kati ya Binadamu na Wanyama waharibifu, Nyoka wakubwa na wanyama wadogo wadogo wanaweza kushambulia watu au kuharibu mazao, kusababisha hasara kubwa kwa wakazi.
Inaombwa Mamlaka husika ziingilie kati kwa Maendeleo ya Mji wa MOROGORO na kudhibiti uhalifu, hakuna Mji unao kua Pori kubwa katikati ya Mji!
1. Maficho ya Wezi, Eneo hili linatishia usalama wa wakazi wa karibu kwa kutumika kufuga wezi na kua maskani ya uharifu.
2. Kuzuia maendeleo ya Mji, eneo la mradi wa StarCity ni eneo kubwa lililopo takribani kilometer 8 tu kutokea katikati ya Mji, pori hili linakosa maendeleo kwasababu wamiliki wa mradi wana uza maeneo kwa masharti magumu na bei kubwa hali inayo sababisha kudorola kwa maendeleo eneo hilo kubwa!
3. Migogoro Kati ya Binadamu na Wanyama waharibifu, Nyoka wakubwa na wanyama wadogo wadogo wanaweza kushambulia watu au kuharibu mazao, kusababisha hasara kubwa kwa wakazi.
Inaombwa Mamlaka husika ziingilie kati kwa Maendeleo ya Mji wa MOROGORO na kudhibiti uhalifu, hakuna Mji unao kua Pori kubwa katikati ya Mji!