DOKEZO Mradi wa Starcity ni hatari kwa Wakazi wa Morogoro

DOKEZO Mradi wa Starcity ni hatari kwa Wakazi wa Morogoro

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hilo eneo la star city, kutokea barabara ya lami hadi kule kwenye fence ya mwendokasi, kulishapimwa hivyo viwanja na vimeuzwa tayari. Shida ni hao wamiliki wapya kiviendeleza.

Ukishavuka reli ya mwendokasi na mto ule. Lile shamba lote la mikonge ukiwa unaelekea kiegea B na kipera. Huko bado hakujapimwa na kuuzwa. Ila naona mikonge imetolewa yote na watu wamelima mahindi humo. Na zile mashine za kuchakata mkonge zilisha hamishwa pale zilipokuwepo. Na penyewe pia patapimwa mida si mrefu
 
Hilo eneo la star city, kutokea barabara ya lami hadi kule kwenye fence ya mwendokasi, kulishapimwa hivyo viwanja na vimeuzwa tayari. Shida ni hao wamiliki wapya kiviendeleza.

Ukishavuka reli ya mwendokasi na mto ule. Lile shamba lote la mikonge ukiwa unaelekea kiegea B na kipera. Huko bado hakujapimwa na kuuzwa. Ila naona mikonge imetolewa yote na watu wamelima mahindi humo. Na zile mashine za kuchakata mkonge zilisha hamishwa pale zilipokuwepo. Na penyewe pia patapimwa mida si mrefu
Yaani watu watakua wote wame ambiana wasi endeleze basi hili eneo, au kuna tatzo kwenye aina ya watu walio uziwa ( Madalali)
 
Yaani watu watakua wote wame ambiana wasi endeleze basi hili eneo, au kuna tatzo kwenye aina ya watu walio uziwa ( Madalali)
Opposite na hilo eneo kuna eneo jipya lililokuwa likimilikiwa na Junior seminary ya KKKT limegaiwa kwa wananchi kama miaka 2 hivi tayari limeshajengwa nyumba na limejaa. Nini kinachoshindikana kwenye hivyo viwanja vya star city?
 
Nashangaa !! Wamepeana watu wasio ja uhitaji , mtu tayari ana makazi na viwanja lukuki kaona bime gaiwa kaona fursa anunue akivundike asubilie kiive auze
 
Liko njia ya kwenda wapi? Vizuri utufahamishe ili tuweze kuchangia, kuna pori jingine Magadu nalo linatisha, hili linamilikiwa na Jeshi la Wananchi na SUA.
huko Magadu ni eneo la jeshi hapo tuombee tu jeshi waamue kulie deleza eneo lao, ila hawatoweza kuwapa wananchi
 
Back
Top Bottom