Mradi wa Ufugaji wa ng'ombe


Huu ushauri ni mzuri pia
 

Mkuu hapa umeongea pwenti nzito sana mkuu..


Hebu funguka mkuu, hao ng'ombe 34 kwa robo heka ni wa maziwa au hawa wa kawaida??
 
 
Kuna makala ya hydroponic fodder kenya wamenufaika nayo sana nadhani ni nzuri kuliko silage kwani mifugo wanapata majani mabichi kila siku na pia inaongeza mazao kwa maana ya uzalishaji wa maziwa na nyama kwa kuku nguruwe na mifugo wengine. Waweza ku google mimi nashindwa kuweka hiyo link hapa jukwaani. Ni hydroponic kenya. Waweza pata majaniabichi katika eneo dogo hata kama upo mjini kwani huchukia nafasi ndogo kuzalisha chakula kingi.
 
SHukrani sana mkuu kwa taarifa hizi

Ngoja nifuatilie google
 
Habari wapendwa wana Jf !!!!!!!!!!!!!! Mimi nina ng'ombe wangu wawili aina ya freshian ni wanunua pale ubungo
lakini wanatoa maziwa kidogo sana 3 litres per day kwa ng'ombe mmoja. Hawa ng'ombe wanapatiwa chakula bora na suppliments mbalimbali. je hawa ng'ombe wana matitizo gani!!!!!!!!!!!!!!! Tafadhali nisaidieni Mm nipo makondeko kama unaelekea kibamba
 

Hakikisha Ng,ombe wako wanapata maji ya kutosha;
Aina ya ng,ombe ulionao ni Ng,ombe ambao rekodi ya Uzalishaji wake haijawai kuvunjwa tangu Karne ya 19 na 20/
Angalia vile vile labda vijana au mfanyakazi wako anauza maziwa kwa wizi huku akiacha hizo litre (3)
Kama ukitaka kujua zaid andaa siku moja ushinde hapo kwenye mifugo yako,na uhakikishe wanapata kila kitu,Mwisho wa siku ndio uwakamue ili kujiridhisha.
 

Mkuu tafuta habari za huyu FLECKVIEH huyu ni balaa anatoa hadi lita 40 akifikisha uzao wa 3
 
Mkuu nimesikia habari kuhusu FLECKVIEH wanastahimili mazingira ya EAst africa , lakini makao makuu yao yapo Kenya sasa sifahamu utawapataje hao ng,ombe na cost zake zipoje. Please give more Information hata namba zako za simu mkuu!!!!! Je kuna mtu yeyote anaewafuga Tanzaniaatupe datails zao
 
Shukrani mkuu!!!!!!!! Hivyo vyote ulivyosema nilisha fanya na wala sikuona any changes. labda hii breed yake sio freshian halisia maana ni 2years sasa toka niwanunue pale Ubungo. yaani mkuu imefika wakati nataka niwabadilishe na nianze upya! ishu inakuja nitawapata wapi cattle diary ambao ni wazuri na watakaotoa high yield ya maziwa.feed za hao ng'ombe kipo in large amount. Msaada toka kwako
 

Mkuu kuna namna mbili za kupata hawa Ngo'ombe
1. Ni wewe kuomba kibali cha kuwaagiza kutoka Kenya, wizara hutoa hivyo vibari.hapa itakugharimu sana make ni lazima uwasafirishe kutoka Kenya hadi hapo ulipo

2. Ni kuagiza/kuchukua mbegu zake na uje upandikize mwenyewe, hii ndo rahisi sana, hawa Ng'ombe nilifanikiwa kuwaona kwa macho ni wazuri sana ukiwa nao kadhaa unaaga umasikini.
 

Bei yao ikoje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…