Mradi wa Ufugaji wa ng'ombe

Mradi wa Ufugaji wa ng'ombe

Je suala la usalama kwa mtumiaji limezingatiwa?naona mashine ni ya kuzunguka na iko wazi wazi!
 
Je suala la usalama kwa mtumiaji limezingatiwa?naona mashine ni ya kuzunguka na iko wazi wazi!
Imekuwa ikitumika sana na mpaka sasa sijasikia malalamiko yoyote kuhusiana na hali hiyo
 
mkuu nahitaji hii mashine, tuwasiliane 0655 999 884
 
Mara nyingi wafugaji wa Ng'ombe na wanyama wengine wanaokula nyasi , hupata hasara sana wakati wa kuwalisha. Hapa naongelea zaidi wale wanaofuga kisasa (Zero grazing). Wafugaji hutumia nyasi nyingi bila ya kuwa na tija maana nyasi nyingi hupotea.

Wanyama hawa huwa na tabia ya kula kidogo na kuacha sehemu kubwa ya nyasi na kuzikanyaga tu. Bahati mbaya nyasi zikikanyagwa na hata kuguswa tu hawa wanyama hawawei kula tena.

Katika kutatua tatizo hili wanasayansi waligundua ya kwamba nyasi zikikatwakatwa huliwa zote bila kubaki. Kazi ya kukata nyasi kwa wepesi kuna mashine kwa kazi hiyo.

Waliokwisha kuzitumia wansema ng'ombe hula sana na kuongeza maziwa mara dufu na kupunguza kiasi cha nyasi zitupwazo (wastage).

Picha kama kawaida iko hapo chini na kama ukiwa na maswali PM.

naomba namba yako ya simu mkuu tuwasiliane
 
Mara nyingi wafugaji wa Ng’ombe na wanyama wengine wanaokula nyasi , hupata hasara sana wakati wa kuwalisha. Hapa naongelea zaidi wale wanaofuga kisasa (Zero grazing). Wafugaji hutumia nyasi nyingi bila ya kuwa na tija maana nyasi nyingi hupotea.

Wanyama hawa huwa na tabia ya kula kidogo na kuacha sehemu kubwa ya nyasi na kuzikanyaga tu. Bahati mbaya nyasi zikikanyagwa na hata kuguswa tu hawa wanyama hawawei kula tena.

Katika kutatua tatizo hili wanasayansi waligundua ya kwamba nyasi zikikatwakatwa huliwa zote bila kubaki. Kazi ya kukata nyasi kwa wepesi kuna mashine kwa kazi hiyo.

Waliokwisha kuzitumia wansema ng’ombe hula sana na kuongeza maziwa mara dufu na kupunguza kiasi cha nyasi zitupwazo (wastage).

Picha kama kawaida iko hapo chini na kama ukiwa na maswali PM.

Mkuu, nyenzo hii ya kurahisisha matayarisho ya chakula cha Mifugo (Ng'ombe) ni nyenzo muhimu sana. Hilo ni dhahiri. Maelezo yako yametiririka vizuri. Kinachonisikitisha ni kuwa baadhi ya Taarifa umeacha kuzibandika kwa misingi kuwa Mwenye kuhitaji aku-PM. Nishindwa kujua ni kwa nini mtu mpaka aku-PM kupata Taarifa za awali kama Aina ya Mashine ulizonazo, zinapatikana wapi, gharama/bei, Guarantee na aratibu za kufuata kwa Mnunuzi. Taarifa kama hizi ninaamini ni za msingi kwenye bandiko kama hili. Sasa, usiri unatoka wapi? Anyways, ngoja waku-PM. Ninafanya mchakato wa kwenye Migori, Kenya kufuata moja!
 
Kuna ng'ombe wa hadi lita 20 kwa siku mpaka 30 ila kuwa makini kupata breed halisi maana matapeli ni wengi mkuu
 
Hawa wa kienyeji wanachelewa, lakini kuna hawa chotara. Mwezi jana nilifanikiwa kumpata mkulima mmoja na aliniuzia dume chotara kwa laki 3 na nusu. Nakubaliana na ww kabisa,lazima kuwa na mbegu kubwa.Kilichobaki kwangu ni kujenga zizi la kisasa ili niwaongeze wengine. Tafadhali,ukifanikiwa kupata mbegu kubwa nishitue.
Mkuu Malila thread ni ya muda kidogo lakini ningependa kufahamu kwa mkoa wa Dodoma ni maeneo gani naweza kupata ng'ombe kwa bei nafuu na kwa msimu upi?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Malila thread ni ya muda kidogo lakini ningependa kufahamu kwa mkoa wa Dodoma ni maeneo gani naweza kupata ng'ombe kwa bei nafuu na kwa msimu upi?

Kongwa, Kibakwe kote huko ukienda msimu wa njaa( miezi ya pili mpaka march) au kama utaotea ukame kule Kibakwe Mpwapwa unaweza kukusanya mifugo kwa bei ndogo sana. Ila usitie timu kuanzia april mwishoni mpaka november, labda kama ni mwaka wa ukame.
 
Kongwa, Kibakwe kote huko ukienda msimu wa njaa( miezi ya pili mpaka march) au kama utaotea ukame kule Kibakwe Mpwapwa unaweza kukusanya mifugo kwa bei ndogo sana. Ila usitie timu kuanzia april mwishoni mpaka november, labda kama ni mwaka wa ukame.
swente!! Kuna kampunga nakategemea mwisho wa mwezi huu nataka nijiingize kwenye ufugaji wa madume waliohasiwa kibiashara. Hili wazo nimelikubali moja kwa moja...
 
Back
Top Bottom