komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Njoo ufanye ujambazi basi uone kama utamaliza hata miezi sita...
Akina hessy watakupoteza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo ufanye ujambazi basi uone kama utamaliza hata miezi sita...
Huyu joto la jinai Ana akili za ki terroristNjoo ufanye ujambazi basi uone kama utamaliza hata miezi sita...
Akina hessy watakupoteza.
Sent using Jamii Forums mobile app
well hio news article yako inasema ni coz of environmental factors. plus kusema the project is in nairobi you are misleading peopleMuhimu ni kwamba ni miongoni mwa miradi ya Kenya iliyoishia njiani baada ya kelele nyingi za kujisifia. Mnajisikiaje mkiona orodha ndefu ya miradi mliyokua mnajisifu ikiwa imeishia njiani?
Sent using Jamii Forums mobile app
This thing called Joto la Jiwe is a terroristNjoo ufanye ujambazi basi uone kama utamaliza hata miezi sita...
Akina hessy watakupoteza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninarudia tena, "main subject of the news is unfulfilled projects", bila kujali sababu za kutotimia kwa huo mradi. Magufuli alitoa sababu nzuri zaidi ya hizi zenu zilizomfanya afute mradi wa Bagamoyo Port, lakini hamkukubali hadi leo, vipi mnataka tukubali hizi sababu zenu ambazo sio muhimu ukilinganisha na zile za Bagamoyo Port?well hio news article yako inasema ni coz of environmental factors. plus kusema the project is in nairobi you are misleading people
Kwa hivyo utunzaji wa mazingira sio muhimu? Look at how this bongolala zombie is reasoningNinarudia tena, "main subject of the news is unfulfilled projects", bila kujali sababu za kutotimia kwa huo mradi. Magufuli alitoa sababu nzuri zaidi ya hizi zenu zilizomfanya afute mradi wa Bagamoyo Port, lakini hamkukubali hadi leo, vipi mnataka tukubali hizi sababu zenu ambazo sio muhimu ukilinganisha na zile za Bagamoyo Port?
Sent using Jamii Forums mobile app
Heheee!!tena huyo ni form 4 hko bongo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa hivyo utunzaji wa mazingira sio muhimu? Look at how this bongolala zombie is reasoning
Tuwapiku njaa au nn?ukishakua na njaa huna haja yakuzungumzia mengine fahamu iloNi Nchi ngapi zimeshindwa kuipiku Kenya ilhali Zina food security na hazina jangwa?
Last time I checked Tz was still an LDC 😉Tuwapiku njaa au nn?ukishakua na njaa huna haja yakuzungumzia mengine fahamu ilo
Sent using Jamii Forums mobile app
Njaa haulifahamu kuhusu mido inkamu wewe bwegeLast time I checked Tz was still an LDC [emoji6]
Njaa ya Kula kinyesi unaifahamu bro?