Mrakibu Msaidizi wa Polisi Fatuma Kigondo afunguliwa shtaka la kutuma vijana kufanya ukatili kwa binti wa Yombo

Afadhali aisee
Haki itendeke
 
Kupitia hili tukio, unakuja kuona
1.kuna shida sana kwenye jeshi la polisi na utendaji wake
2.Kuna shida kwenye mahakama na mifumo yake
3.kuna shida za utawala wa nchi na utendaji wake.

Kwamba awamu iliopo, pengine ipo kwa ajili ya maslai ya watu wa nje zaidi.

That woman has failed, she is not worth it
 
Picha ya Da Fatu iko wapiiii? Waja tunamtakaa tumuonee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo wa shati LA draft, ndo alisema yeye zamu yake ni MAVII, yaani JOKER.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Atakataa kwamba hawajui na hajawatuma!
Kama wanadai kawatuma wawelete mkataba
 
Huyo wa shati LA draft, ndo alisema yeye zamu yake ni MAVII, yaani JOKER.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakapimwe ukimwi, mpox, kaswende, kisonono......
 
Muongezee na ishu ya wale wafanyabiashara wa mahenge, Tibaigana kukamata kontena lenye mapanga ya CUF😁😄 ishu ya RPC Msangi kuondolewa mwanza nk
 
kadri wanavyojitahidi kuzima ndio kama wanamwagia mafuta ili moto uendelee kuwaka
 
sasa mkuu mbona hiyo document inaonyesha mshtaki sio jamhuri bali ni mtu binafsi huyo Paul kwani sheria zetu zinaruhusu mtu binafsi kufungua mashtaka ya jinai? hiyo si kazi ya DPP kupitia polisi kwa ajili ya upelelezi au.!
Mtu binafsi kisheria anaweza kufungua shauri la jinai lakini in practice DPP huingilia...
 
Wa nchi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…