Mrakibu Msaidizi wa Polisi Fatuma Kigondo afunguliwa shtaka la kutuma vijana kufanya ukatili kwa binti wa Yombo

Mrakibu Msaidizi wa Polisi Fatuma Kigondo afunguliwa shtaka la kutuma vijana kufanya ukatili kwa binti wa Yombo

455133485_1024952925740431_5100467361263490809_n.jpg
 
sasa mkuu mbona hiyo document inaonyesha mshtaki sio jamhuri bali ni mtu binafsi huyo Paul kwani sheria zetu zinaruhusu mtu binafsi kufungua mashtaka ya jinai? hiyo si kazi ya DPP kupitia polisi kwa ajili ya upelelezi au.!
Mtu binafsi anaruhusiwa kufungua criminal case as per section 128 (2) and (4) of the Criminal Procedure Act.
 
sasa mkuu mbona hiyo document inaonyesha mshtaki sio jamhuri bali ni mtu binafsi huyo Paul kwani sheria zetu zinaruhusu mtu binafsi kufungua mashtaka ya jinai? hiyo si kazi ya DPP kupitia polisi kwa ajili ya upelelezi au.!
Fake document!
 
Wiki moja baada ya kutoka Arusha nilishuhudia binadamu wakichomwa moto pale "Picnic" tena mchana kweupe.
Kilichonisikitisha sana ni adhabu iliyotolewa kwe wezi wale wa vitu vidogo vidogo wakati waharifu wakubwa kama huyo afande na wezi wengine wa mali ya umma wakilindwa na kuepushwa na Dola kukabili hukumu zao.
 
Back
Top Bottom