Mh. Mramba alipokuwa Mkurugenzi wa Viwanda vidogo vidogo (SIDO) aliweza. Aliiongoza SIDO vizuri sana kuliko SIDO ya sasa ambayo haiwezi kusomesha wataalamu au kuwatumia wataalamu wa VETA. Pia Mramba aliweza kuendeleza vizuri Wizara ya Viwanda na Biashara.
Hapa Tanzania tuna matunda kibao, lakini nashangaa tunanunua juice ya matunda kutoka Kenya.
Kenya wana Kiwanda cha Kutengeneza Juice fresh za DEL MONTE. Hicho kiwanda cha DELMONTE Wanatoa juice za machungwa, maembe, mananasi n.k
Na watu wengi wanazipenda hizi juice kwa sababu ni juice halisi. sio juice za Machemicali.
Sasa mawaziri wa Tanzania kipindi hiki wanafanya nini? wapo wizarani kuchuma pesa na kujineemesha au wanafanya kazi gani. Wana uzalendo gani na nchi hii??
Hapa Tanzania tuna matunda kibao, lakini nashangaa tunanunua juice ya matunda kutoka Kenya.
Kenya wana Kiwanda cha Kutengeneza Juice fresh za DEL MONTE. Hicho kiwanda cha DELMONTE Wanatoa juice za machungwa, maembe, mananasi n.k
Na watu wengi wanazipenda hizi juice kwa sababu ni juice halisi. sio juice za Machemicali.
Sasa mawaziri wa Tanzania kipindi hiki wanafanya nini? wapo wizarani kuchuma pesa na kujineemesha au wanafanya kazi gani. Wana uzalendo gani na nchi hii??