miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Mkuu, nadhani ungepata mwenyeji. Halaf moshi mjini hata huwaga si pazuri ijapokua mpango miji umezingatiwa. Vijini haswa ndo kutamu. Ni vile tu ishu kuleta picha za majumbani kule soo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aliekuambia kaskazini wana shida ya usafiri ni nani mpaka umpongeze huyo jamaaKwanza pongezi kwa JPM na pole kwa wanaobeza juhudi zake. Ila jamaa anapambana sana, anakosolewa sana kaskazini lakini kawapunguzia sana shida.
Ewaaaa hapo umetenda haki. Kibosho ndo kwetu karibu tena next time.View attachment 1675310
Kwenye kibanda kimoja huko Kibosho bei 500
duuuuuh acha kudharau vijiji vya watu wwKuna tofauti kubwa Sana Kati ya UCHAGANI na kule porini kwenu ilolanguru
Unabishana na ukweli?
Kila sehemu na mazuri yake na mabaya pia. 2019 angalichungulia darini huko kibosho akaona hayo mafuvu si angalikuwa na story ingine? Sie wagogo tunaweza kuwa na yetu mazuri pamoja na madhambi ya tembele!!!Ewaaaa hapo umetenda haki. Kibosho ndo kwetu karibu tena next time.
[emoji3][emoji3][emoji3], uwezo wa kuchungulia darini hana labda kama hajipendiKila sehemu na mazuri yake na mabaya pia. 2019 angalichungulia darini huko kibosho akaona hayo mafuvu si angalikuwa na story ingine? Sie wagogo tunaweza kuwa na yetu mazuri pamoja na madhambi ya tembele!!!
Na angalikwenda kwa majirani zenu wa Uru akaona nao pia wanavyofukua si angalizimia?[emoji3][emoji3][emoji3], uwezo wa kuchungulia darini hana labda kama hajipendi
Hayo mambo yapo kwa makabila mengi. Ila uzuri wa mandhari vijiji vya Moshi huwezi linganisha na mikoa mingine. Ni ukweli usiopingikaNa angalikwenda kwa majirani zenu wa Uru akaona nao pia wanavyofukua si angalizimia?
Sina uelewa mzuri kuhusu viwanja. Ila nadhani wachaga wanathamini sana ardhi yao hasa wa vijijini, watarithishana au kuuziana wao kwa wao lkn sio wewe ulietoka Chato.Sema kuna kitu nilishangaa luambo makiadi na Dilek mbona hakuna viwanja vya kununua? Niliuza kila sehemu lakini sikupata eneo linalouzwa afu nikaambiwa huko migombani bei ni kubwa sana kuliko hata maeneo mengine ya Dar ni kweli?
Tatizo kubwa tunapenda kugeneralise, si wote humu nyumbani ni bora vijijini au hata mijini. Asilimia kubwa hapa wanaotamba wanatambia za majirani pengine hata wewe mremboHayo mambo yapo kwa makabila mengi. Ila uzuri wa mandhari vijiji vya Moshi huwezi linganisha na mikoa mingine. Ni ukweli usiopingika
Tunachoangalia ni uzuri wa eneo haijalishi ni nani amesababisha uzuri wa muonekano huo..inaweza ikawa ni jirani yangu.Tatizo kubwa tunapenda kugeneralise, si wote humu nyumbani ni bora vijijini au hata mijini. Asilimia kubwa hapa wanaotamba wanatambia za majirani pengine hata wewe mrembo