Mrejesho baada ya kuagiza Gari toka Japan

Mrejesho baada ya kuagiza Gari toka Japan

Mkuu yako kali sana dah...Sbt zao mechokachoka sana upo sawa mkuu..

Nimeagiza Sbt toka 9/4/21 gar imefika 13/7/21 af wamekuja kuniambia 20/7/21 af wananiambia nilipie storage sh 25000 per day kuanzia 13/7 mpk nitakapo toa kwa hili ntakwenda petrol ofisin kwao kitakachotoa kitakua mjadala humu...
Boss hiyo 12,500,000 ushalipa ushuru au bado?
 
Mkuu, hivi hizi grade za magari hua tunaziangaliaje.., au hua haijalishi.. unakuta sijui grade U mara grade F, zinanichanganya.
Mara nyingi wanaoenda mnadani huko Japan ndiko kunakuwa na grade Kwa mfano hawa dealers wa Magari kama be forward, SBT na wengine hawa ndiyo wananunua Magari Kwa njia ya grade kabla hawaja-upload Kwenye site zao pia ukiona Kwenye site wameandika GRADE 4 basi hiyo gari bado mbichi Sana na hata bei yake inakuwa IPO juu
 
Mara nyingi wanaoenda mnadani huko Japan ndiko kunakuwa na grade Kwa mfano hawa dealers wa Magari kama be forward, SBT na wengine hawa ndiyo wananunua Magari Kwa njia ya grade kabla hawaja-upload Kwenye site zao pia ukiona Kwenye site wameandika GRADE 4 basi hiyo gari bado mbichi Sana na hata bei yake inakuwa IPO juu
Thanks mkuu.. i thought they are for us to analyse
 
Mkuu, hivi hizi grade za magari hua tunaziangaliaje.., au hua haijalishi.. unakuta sijui grade U mara grade F, zinanichanganya.

Kwenye minada kuna grade za gari
1. Grade 5 hii inakua mpya yani imenyooka htr
2. Grade 4-4.5 hii inakua ni quality ipo vzr sana
3. Grade 3-3.5 inakua kawaida
Me najua hvo
 
Back
Top Bottom