Mrejesho baada ya kuambiwa nichague kati ya Vanguard na Harrier ili ku compensate kama malipo ya kazi

Mrejesho baada ya kuambiwa nichague kati ya Vanguard na Harrier ili ku compensate kama malipo ya kazi

Shikamoo kaka .. yani umepita mulemule kama ulikuwepo. .. Nawashukuru sana wadau wa JF mlinishauri yote haya na tumeyafanyia kazi na kuna mwanasheria asha play part yake ko kila k2 kipo sawa sema nimeshindwa kuandika yote. Shukran sana kaka. Ila janja janja za kukwepa kodi ndo hazikosagi mkuuu. hahahahahhahahaha
Tax avoidance ndio inakubalika tax evasion haikubaliki mkuu anyway nakutakia kila la kheri mkuu kuwa makin sana ili hiyo gari usije ukaiona chungu huko mbeleni.
 
Kapo ofisi za TRA wilaya ya Ilala ni keusi karefu. Siku ukipita maeneo yale hebu ingia ofisin watazame vizuri staff wa mule utakaona huwa kana jifanya kapo bzebze hivi

Ungekaimbisha hadi kieleweke, ukishasimamisha bendera next time ndio kanakuwa kabalozi kako ndani ya tiharaei...
 
Kama masuala ya msingi tu kanakuletea nyodo, hiyo fimbo nyingine utatoboa kweli?
Wanawake wenye nyodo ndo wadhaifu kupitiliza mkuu.....yaani superiority complex is a sign of inferiority complex......huyo unaenda nae polepole ku study udhaifu wake.....yaani wanabadilikaga huwezi amini
 
Yani kuna videm Tra vinaona kama ndo vimemaliza maisha ...shubakengemit
 
SASA hivi ndio mwanaume unatakiwa kusimulia story.

Yaani unakua haueleweki eleweki hivo. Safi Baharia.

Kikubwa Vanguard ipo kwenye parking home.
SASA hivi ndio mwanaume unatakiwa kusimulia story.

Yaani unakua haueleweki eleweki hivo. Safi Baharia.

Kikubwa Vanguard ipo kwenye parking home.
Ila hapo mwishoni mwa story kasema walimrudishia harrier
 
Wakiwa wanaomba kazi ni wapole sana, wakishapata wanaanza ujinga.
Nilishawahi kukutana na binti kama huyo lakini nikajifanya mpole, huwezi amini huyo binti nilimfanyia umafia nikaja kumtafuna kimasihara mpaka leo najitafunia tu kila nikimhitaji, yupo ofisi moja hv ya umma.
 
Kama maelezo ndio yameishia hvyo. Hilo gari sio lako na hauna uhalali wa kuliuza ama kumpatia mtu mwengine yeyote na kuendelea kuwa nalo litakuletea shida.. kwa maelezo hayo hilo tatizo mmelitatua kienyeji sana Mkuu, hautambuliki ktk mamlaka yoyote kama ww ni mmiliki halali. Ulipaswa kubadili kadi ya gari kwanza na magari mengi ya miradi uwa yana exemption na ili gari ibadilishwe umiliki kwenda kwenye umiliki binafsi ni lazima ile kodi iliyokuwa exempted ilipwe na kama kulikuwa na kodi zingine kampuni inadaiwa lazima izilipe mana kwenye kufanya transer lazima itahitajika tax clearance ya kampuni.
Ashike hili umenena vema hii kitu ilimtokea puani baba yangu mzazi

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
It's true brother. Na ofis yenyewe ni TRA wilaya ya Ilala pale kuna dem mrefu mweusi ana penda kuvaa earphones. Pia kuna jamaa mweupe anasifika kwa kukadiria kodi za ajabu ili kutengeneza mazingira ya rushwa (kwa mfn kodi yako ni 20000 anakukadiria 100000 ukilialia ndo anakwambia atakupunguzia ila umpe chochote ukikubari ndo anakuwekea viwango vya kawaida unamshukuru unajua kakusaidia na pesa unampa kumbe ushapigwa)
Huyu mtu anayepokea hela kwa nini watu wasimlengeshe na takukuru.
Bado anaendeleza michezo ya kizamani sana.
 
It's true brother. Na ofis yenyewe ni TRA wilaya ya Ilala pale kuna dem mrefu mweusi ana penda kuvaa earphones. Pia kuna jamaa mweupe anasifika kwa kukadiria kodi za ajabu ili kutengeneza mazingira ya rushwa (kwa mfn kodi yako ni 20000 anakukadiria 100000 ukilialia ndo anakwambia atakupunguzia ila umpe chochote ukikubari ndo anakuwekea viwango vya kawaida unamshukuru unajua kakusaidia na pesa unampa kumbe ushapigwa)

Aisee huyo dada amekukuta we mpole, Mungu atuepushe tu sisi wengine
 
Muddy alinikutanisha na mkuu wa idala flan ivi yule mkuu ndo akatutambulisha kwa yule jamaa kama wadogo zake ko jamaa akalibeba kama lake. Ni usalama wa taifa mzee . Wale jamaa huwa wanajua kila k2 kinachoendelea hapa bongo ( salute kwao)
Sasa kama wanajua kwanini wasidhibiti hiyo hali??
 
Back
Top Bottom