Kama maelezo ndio yameishia hvyo. Hilo gari sio lako na hauna uhalali wa kuliuza ama kumpatia mtu mwengine yeyote na kuendelea kuwa nalo litakuletea shida.. kwa maelezo hayo hilo tatizo mmelitatua kienyeji sana Mkuu, hautambuliki ktk mamlaka yoyote kama ww ni mmiliki halali. Ulipaswa kubadili kadi ya gari kwanza na magari mengi ya miradi uwa yana exemption na ili gari ibadilishwe umiliki kwenda kwenye umiliki binafsi ni lazima ile kodi iliyokuwa exempted ilipwe na kama kulikuwa na kodi zingine kampuni inadaiwa lazima izilipe mana kwenye kufanya transer lazima itahitajika tax clearance ya kampuni.