Zidani
JF-Expert Member
- Apr 5, 2021
- 970
- 3,941
Kama laki mbili hiyo hata hivyo uaminifu ni mtaji.Dola 100 niitoe wapi ndugu, maisha magumu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama laki mbili hiyo hata hivyo uaminifu ni mtaji.Dola 100 niitoe wapi ndugu, maisha magumu.
Hizo Pete haikua mali yake,acha tamaa mkuu,riziki anatoa Mungu na nina imani atamlipa zaidi ya thamani ya hizo Pete,uaminifu unalipa.Feel sad
Na kweli wajuzi walisema utajutia kama amekupa 100 usd inaonyesha wazi thamani zake zilikuwa 100,000 usd hapo ni mill 240 zakitanzania da
Mungu ndo alimjalia huenda mzungu anaenda kumvisha lesbian au msagaji mwenzake Kweli jamaa amekuja JUHA amgempa Ile ya tatu mbaya mbayaHizo Pete haikua mali yake,acha tamaa mkuu,riziki anatoa Mungu na nina imani atamlipa zaidi ya thamani ya hizo Pete,uaminifu unalipa.
Mungu alikua anampima imani yake,hayo ya kusema "huenda..." huo ni utabiri wako na hauna ithbati yeyote,siku ukija kupoteza kitu chako cha thamani ndio utajua thamani ya uaminifu.Mungu ndo alimjalia huenda mzungu anaenda kumvisha lesbian au msagaji mwenzake Kweli jamaa amekuja JUHA amgempa Ile ya tatu mbaya mbaya
Sio kila mzungu ana hela nimeishi nje miaka zaidi ya mitano wengi chokestiMawasiliano aliokuachia usimtafute Leo Wala kesho Kama n namba ya simu yakwao sio ya bongo hapo tengeneza connection lakibabe mpe hata mwez Kama unakiraruraru Basi after two weeks msalimie.
Ongea nae connection za pesa huwez just huko kwao wapo vip naamini unabusara hvyo utanzania(Africa) hautauonyesha hapo.
Mpe dili akukusanyie makorokoro mpaki kwenye container mpige pesa
Nishapoteza sanaMungu alikua anampima imani yake,hayo ya kusema "huenda..." huo ni utabiri wako na hauna ithbati yeyote,siku ukija kupoteza kitu chako cha thamani ndio utajua thamani ya uaminifu.
Asante. Huwezi amini, hii ni tabia tu,wala si ukosefu wa pesa au umasikini. Utaona tabia hii inakua kadiri tunavyosonga mbele. Kadiri ukirudisha miaka nyuma,utaona kiwango cha utu kinaongezeka, na kadiri jamii inavyosonga mbele ndivyo utu na uungwana hupungua. Hivyo, ni malezi kijamii. Hapo utashangaa kuna watz wengi wanakuona wa ajabu,mshamba,boya n.k., ukimrudishia mwenye chake.Umeandika vizuri sana ndugu. Ila ukosefu wa pesa ndio unasababisha hayo yote
Unadhani akifanya hivyo inamsaidia nn? Why dont you think positive?yaani kwenye pochi yako umeweka dollar mia ukaamua kutungia story! 😛