Mrejesho, Baada ya kuokota kipochi cha mzungu kilichokuwa na pete

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unachokula siku hizi sio poa!
Umeona eeeeeh.

Niliambiwa lakini, Dada bangi zitakubangua sikusikia.

Nikaona hawa hawajui stimu waniache.

Ona sasa. Sio poa. 🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Umeona eeeeeh.

Niliambiwa lakini, Dada bangi zitakubangua sikusikia.

Nikaona hawa hawajui stimu waniache.

Ona sasa. Sio poa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Punguza hiyo bangi, jani limefanya ubongo uende resi au?[emoji23][emoji23]
 
Umekuja na plan B we muongo sana hebu weka ile picha ya pete kuna kitu cha kujifunza hapa.
 
Una roho ya tamaa Sana ungeikataa hiyo Dola 100 hakika tuzo yako ingekua kubwa maradufu saivi ungekua unashughulikia visa
 
Hongera kabadilishe hiyo haraka kabla manjagu ya zero hayajakupora na kukubambikia kesi mbaya ya uhujumu uchumi wa kutakatisha pesa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hiyo pesa na wewe usiitumie kwenye anasa yoyote ile, ifanyie mambo ya msingi. Utakuja kunishukuru hapa kwa Mbegu utakayoipanda. Asante.
 
Umetuonyesha dola pekee hebu tuonyeshe na hiyo kadi ya mawasiliano tuone kama ni kweli aisee πŸ˜ƒ
 
Kuna kipindi cha nyuma jamaa aliokota begi la mzungu kufungua kulikuwa na fwedha haswaaaaa, kwa uaminifu alimtafuta mzungu akampa begi lake. Cha ajabu alipigwa makofi eti ni mpumbavu.


Ingependeza ungeenda kusoma mada zote za ukoloni na malengo yao

Baada ya hapo ungeenda kwa sonara kuthaminisha baada ya hapo..............

Hawa watu ni wa ajabu saaana utaleta mlejesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…