NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Mabando haya ghali yaliniumiza sana hasa nikiwa mtu mwenye kipato cha kawaida, Vuta picha tu kwamba MB 900 hazijafika hata GB ni elf 2 halafu umetumia nusu saa tu unapokea sms "umetumia asilimia 75%...." š¬ , nilikuwa najikuta, nilikwangua sana vocha.
Ndipo nilipoweza kupata suluhisho.
Ni miezi mitatu sasa nina enjoy internet bila stress kwa bei chee, mabando hayaniumizi tena kichwa wala kunivurugia bajeti, š.
KUHUSU POSTPAID
Muhimu: Nime update post haya ni mabando mapya kwa wateja wapya, Kwa sisi tuliojisali mwanzoni mabadilko hayatuhusu.
Postpaid ni malipo baada ya matumizi, unatumia sasa unalipa baada ya matumizi, ni tofauti na vifurushi tulivyovizoea vinavyoitwa prepaid tunailipia kabla.
Kujisajili postpaid inabidi uende ofisi za tigo ukiwa na tin namba, na kitambulisho cha kupiga kura, Nida, udereva, n.k. (Kama huna Tin mbadala ni kutumia hawa wanaosajili lain mtaani wapo wenye connection ila inabidi uwape ya maji)
Siku unayosajiliwa utalipia pesa kulingana na kifurushi, Mfano ukitaka kusajiliwa bando la elf 15 lenye GB 15, itabidi ulipe elf 15, hii hela inaitwa security fee.
Kila mwezi mpya ukifika ile saa sita usiku unaungwa upya, mfano bando la Gb 15 ikifika saa sita zinaingia upya GB 15.
Muda wa malipo ni tarehe 1 hadi tarehe 10, ukichelewa kulipa laini inafungwa, itafunguliwa hadi ulipe deni. haimaanishi kwamba huwezi kutumia bando jipya mpaka ulipie, Hapana! bando utaendelea kulitumia bila kizuizi ila hakikisha unafanya malipo ndani ya muda.
Bando la kwanza unaposajiliwa utapimiwa kulingana na siku zilizobaki, mfano ukisajiliwa tarehe 11 kwenye mwezi wenye siku 30 hapo zimebaki siku 20, kwa kifurushi cha gb 15 utapewa bando la siku 20 sawa na GB 10 ( siku20/siku30 x gb 15), mwezi mpya ukifika utadaiwa bando la siku 20 sawa na elf 10 (siku 20/siku30 x 15,000) ulipie ndani ya tarehe 1 hadi 10, baada ya hapo utakua unapewa kifurushi kamili na kulipia kiasi kamili. hata ukijisajili tarehe 30 utapimiwa bando la siku 1 ila ikifika tarehe 1 utapewa bando kamili, Kesho yake tarehe 1 ya mwezi mpya utadaiwa bando la siku 1, malipo ni tarehe 1 hadi tarehe 10.
NETWORK
Kabla hujajiunga hakikisha maeneo yako yana network ya tigo, tumia line yoyote ya tigo kupima kama network inakamata, usije fanya kosa la kusajili bila kutesti mitambo.
Kama maeneo network ni changamoto inabidi ununue pocket router kifaa kidogo tu kina uwezo mkubwa wa kukusanya network kuzidi simu, unaichaji unaweka dirishani ama juu ya mlango, zipo tigo zinauzwa.
Ndipo nilipoweza kupata suluhisho.
Ni miezi mitatu sasa nina enjoy internet bila stress kwa bei chee, mabando hayaniumizi tena kichwa wala kunivurugia bajeti, š.
KUHUSU POSTPAID
Muhimu: Nime update post haya ni mabando mapya kwa wateja wapya, Kwa sisi tuliojisali mwanzoni mabadilko hayatuhusu.
Postpaid ni malipo baada ya matumizi, unatumia sasa unalipa baada ya matumizi, ni tofauti na vifurushi tulivyovizoea vinavyoitwa prepaid tunailipia kabla.
Kujisajili postpaid inabidi uende ofisi za tigo ukiwa na tin namba, na kitambulisho cha kupiga kura, Nida, udereva, n.k. (Kama huna Tin mbadala ni kutumia hawa wanaosajili lain mtaani wapo wenye connection ila inabidi uwape ya maji)
Siku unayosajiliwa utalipia pesa kulingana na kifurushi, Mfano ukitaka kusajiliwa bando la elf 15 lenye GB 15, itabidi ulipe elf 15, hii hela inaitwa security fee.
Kila mwezi mpya ukifika ile saa sita usiku unaungwa upya, mfano bando la Gb 15 ikifika saa sita zinaingia upya GB 15.
Muda wa malipo ni tarehe 1 hadi tarehe 10, ukichelewa kulipa laini inafungwa, itafunguliwa hadi ulipe deni. haimaanishi kwamba huwezi kutumia bando jipya mpaka ulipie, Hapana! bando utaendelea kulitumia bila kizuizi ila hakikisha unafanya malipo ndani ya muda.
Bando la kwanza unaposajiliwa utapimiwa kulingana na siku zilizobaki, mfano ukisajiliwa tarehe 11 kwenye mwezi wenye siku 30 hapo zimebaki siku 20, kwa kifurushi cha gb 15 utapewa bando la siku 20 sawa na GB 10 ( siku20/siku30 x gb 15), mwezi mpya ukifika utadaiwa bando la siku 20 sawa na elf 10 (siku 20/siku30 x 15,000) ulipie ndani ya tarehe 1 hadi 10, baada ya hapo utakua unapewa kifurushi kamili na kulipia kiasi kamili. hata ukijisajili tarehe 30 utapimiwa bando la siku 1 ila ikifika tarehe 1 utapewa bando kamili, Kesho yake tarehe 1 ya mwezi mpya utadaiwa bando la siku 1, malipo ni tarehe 1 hadi tarehe 10.
NETWORK
Kabla hujajiunga hakikisha maeneo yako yana network ya tigo, tumia line yoyote ya tigo kupima kama network inakamata, usije fanya kosa la kusajili bila kutesti mitambo.
Kama maeneo network ni changamoto inabidi ununue pocket router kifaa kidogo tu kina uwezo mkubwa wa kukusanya network kuzidi simu, unaichaji unaweka dirishani ama juu ya mlango, zipo tigo zinauzwa.