Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mcheza baikoko wa TangaHahaaaaaa huwez amini coz hamjazoea hizi shoo za kibabe zenu wacheza singeri
bwanaweeee....hizi ni burudani. tufurahie mwenzetu kapata. ukitaka kufatilia itakuwa hii ni 'hadithi'...Muda wa SAA 4:30 usiku nilifika stendi kuu ya mabasi Ubungo...... Baada ya nusu SAA tulifika kwake (kama mlitumia dk 30 kufika kwake kutokea UBT, kwa mida hiyo barabara za DSM huwa tupu... huyo singomaza atakuwa anaishi Kibiti!)........Muda mchache akaingia jikoni akapika baada ya muda akawa ameleta chakula (huyu singomaza anapika baada ya Mgeni kufika... atakuwa kakupikia daku daku0)
Kwa maisha ya usasa, tena Dsm, kama sio chai basi huyo singomaza ana moyo wa Masia! Anampokea ambae hawajawahi kumeet, anamlaza home kwake pasi na tahadhari yoyote!
au wote hamnazo!!Binadamu akiishakuwa mjinga anadhani na wengine ni wajinga pia. Mtu mmekutana hapa JF anasoma story zako humu tangu unaenda kwake mpaka umetoka kwake, atakubali kweli kukuvulia nguo zake za ndani? Si anakuona hamnazo?
Ukituma picha ya huyo binti kashika kikaratasi kimeandikwa Da'Vinci nakupa elfu hamsini.
Wanaume wa mikoani mnapenda kuonekana vitombi kumbe hamna lolote shwain
Mpiga gym usie na marindaSawa mcheza baikoko wa Tanga
Sasa nivae suruali za marinda za nini wewe mshamba?Mpiga gym usie na marinda
Chai yako ya vitumbua teh tehSasa nivae suruali za marinda za nini wewe mshamba?
Kamwambie Lugola akuazime suruali zake
Ya maziwa lkn kajitahidiChai
Mwenyekiti wenu wa ukoo Magufuli alishasema atakayebaki Dar ndiyo mwanaume wanawake wote mkakimbilia mikoani na Zenji.Chai yako ya vitumbua teh teh