Mrejesho: Baada ya Safari ya Dar kukutana na asiyejulikana

Mrejesho: Baada ya Safari ya Dar kukutana na asiyejulikana

Hii stori ni chai.
Dsm hakuna mwanamke wa 30age ambaye ana mtoto wa miaka 3 hana mume na ana mali.

Labda mumewe amekufa kwa ngoma.
Kiufupi hii ni chai
Mimi sinywi
 
Nilivyoona mrejesho tu nikajua lazima umekuta usiyoyategemea.

Haya ujitahidi kumuelewa sasa Mkuu ili usije tia kitumbua mchanga.
Mimi pia nilikuwa nawaza kama wewe... Dah! wanaume wa mikoani kumbe tuna potential kubwa, wacha nifie kwenye zoezi.
 
hadiii hapoo sina la kusema umetuwakilisha vyema wanaume wa mkoani inabidi siku ukifuata mwingine Kigoma nitaarifu nikuandaliee mihogo na mafuta ya mawese kwa ajili ya kazi kakaa
Wanaume wa dar wacha waendelee kula mahindi ya kuchoma yaliyopakwa ndimu na iliki....[emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Alooo ilikua 2018 hiyo, hebu nipe tips na mimi jobles pro max nipate jimama la hivyo.
 
Back
Top Bottom