Mrejesho: Biashara gani ya kuingiza faida zaidi ya milioni 100/200/300 hadi 500 kwa siku?

Mkuu nimeona wewe ni mbishi na mzito kidogo kukubali Ukweli, tuache muda uamue , labda ipo siku utarudi hapa kukiri.
 
Mkuu nimeona wewe ni mbishi na mzito kidogo kukubali Ukweli, tuache muda uamue , labda ipo siku utarudi hapa kukiri
Sio mbishi nina misimamo mikali sana
sasa unataka nikiri failure na nifuate njia yako.?! That can never happen. Ni hivyo hivyo ambavyo siwezi kukulazimisha wewe ufanye nachotaka kufanya, thats how life is.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mradi mkubwa wa mashine ya kukoboa mpunga kwa kiwango cha uzalizaji mkubwa (large scale).

Mambo ya kuzingatia...

1. Mradi uwe ktk eneo/ maeneo wanayolima mpunga kwa wingi. Mfano Morogoro wilaya ya Mvomero.

2. Uwe na Jengo/ ghala kubwa lenye uwezo wa kuweka kiasi kikubwa cha gunia za mpunga.

NB: Nimefanyia utafiti wa kina mradi wa aina hii kisha nikaandikia andiko mradi. Kama haitoshi nimefanikiwa kuanzisha mradi wa aina hii japo kwa kiwango cha cha chini (small-scale) kulingana na investment capital niliyokuwa nayo. Hivyo, naona kunaulinganifu wa karibu sana kati ya majibu (findings) za utafiti nilioufanya na uhalisia ninaouona.
 
Kuna jamaa anaenda MKENDO mitaa iyo sizani kama anapata faida.
 
Kuna jamaa anaenda MKENDO mitaa iyo sizani kama anapata faida
Itakuwa ni MKINDO hiyo mkuu.
Anaweza kuwa hapati hiyo, kwani pia inategemea na wingi wa wateja na aina ya mashine aliyoweka. Kwa hapo alipoweka pia nauhakika atakuwa anapiga kazi ya maana tu.
 
Narudia tena kumshauri, hiyo pesa atenge walau robo tu, awekeze kwenye FOREX! Akubali kujifunza na akubali kusoma!

Baada ya miezi kadhaa mpaka mwaka mmoja ataona matunda yake!!
Umemwelewa lakini mkuu, mwenzako anataka biashara inayoweza kuzalisha zaidi ya millioni 100/200/300 hadi 500 kwa siku, sasa kwenye forex atawekeza shs ngapi ili azalishe hiyo faida?
 
Karibu uwekeze kiongoz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…