Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Mbona tunaumbuana wangu, ya whatsup tuyaache kule.Leo moja kani inbox wasap nikamwambia no time for that when we uliniacha so baki na wako sina muda huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona tunaumbuana wangu, ya whatsup tuyaache kule.Leo moja kani inbox wasap nikamwambia no time for that when we uliniacha so baki na wako sina muda huo
yani kwa jinisi unavyoongea asee, mkuu hufanani na Id yako hata kidogo kuanzia jina hadi pichaMkwala mbuzi huo. Security officers wa pale getini hawawezi kuruhusu mimtu kuingia ndani kusumbua wateja walio kwenye starehe zao.
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
Basi kama una nia nae njema mwache kwanza amalize shule, lakini utajenga uhasama na ex wako. Tena huyu alipass form four kwenda five, kitu kulichokufanya umpige chini ex. Vikishindana nitakuzalia mke uwe mkwe wangu.
Kukuaga anaenda shule ndo kajileta!!!! Wakaka ndo mlivyo eeh- mkitaftwa inakuwa ' kajileta' ' kajipendekeza' hata kama hana nia hiyo. Aisee ndo maana cpendagi kumzoea mkaka pasipo sababu ya msingi
Mkuu haya ya kuita watoto wa wenzako skrepa si uungwana hata kidogo, msingewapitia wakiwa wabichi wala tusingekuwa na skrepas.Mara ya kwanza comment ya JF imepenya moyoni... Tatizo ni namna gani nitajua kama ni bikra ama sio... Nisije subiri skrepa.
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
Hahaa,we jamaa unafurahisha saana jukwaa kwa stor zako
Wanaume WA dar bwana
ina-bore sana kwa mtu mzima kama mimi kukutana na threads za kijinga kama hz halafu niwe comfortable, very disgusting!
Si kosa Tatizo unaharibu watoto wa Watu Wa SecondaryKufanya mapenz ni kosa la jinai tangu lini????
Nitakupiga pump wewe!!!
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
dawa yako inachemka mjomba analipia ada alafu gharama kweli ww unakula tu,na kumbe siku ile alikuwa anaongea na mpuuzi ww ngoja
Hahahahah Ngoja Ukute Kazoefu....Maneno yako wala hayanizuii Jmosi kwenda kubanjua MBUNYE mpyaaa!!
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
Si kosa Tatizo unaharibu watoto wa Watu Wa Secondary
yani kwa jinisi unavyoongea asee, mkuu hufanani na Id yako hata kidogo kuanzia jina hadi picha
Mkuu nina shaka na uandishi wako ur so empty minded engnr
Sijaelewa pesa iliyokuuma ni 25000 au laki mbili na nusu
Niaje Wazeiyaaaaaaaaaaaaaaah...
EBANA SAWA:
Mnakumbuka majuzi hapa nilikuja kulalamika humu kuwa yule ex-gf wangu (nilieanza kumgonga tangu yuko form two nikaja kumtema alipofeli form four) jinsi alivonitia hasara baada ya kunitafuta na kusema anataka tuonane, sasa mimi nikajiandaa tayari kwa kupasha kiporo... Unfortunately dogo akaja na ndugu yake (bla bla bla nyingi unaweza ku review hapa chini)
ex-gf wangu kanitia hasara tuu.
SASA MAZEE:
Wakat nikianza kusahau machungu ya zile pesa zangu za:
1. kule PATAYA (25,000 yangu kubabake inaniuma)
2. mikuku, misoda na michipsi walioshika shika na kuacha pale UDBS
3. nauli nilizowalipia kuja na kurudi
4. pamoja na muda niliopoteza for nothing (maana nilitoroka kwa ofisi that day).
KAMA ZALI BANA:
Jana yule mdogo wake aliekuja nae that day (dogo yuko form six shule moja matawi bagamoyo) kanipigia cm. NGRRRRRRRRRRRRRRRRR
Chief: Hello!!
Dogo: Hello mimi Noor (sio jina lake halisi)
Chief: Ahaaa.. habari za toka siku ile, uko wapi??
Dogo: niko home tangi bovu. Nilikua nakuaga kesho naenda shule!!
Chief: Daaah.. kwahiyo ndio sikuoni tena nikuage. kwani E (yule ex-gf wangu) yuko wapi??
Dogo: Amesharudi moro week sasa. Njoo tangi bovu tuagane..
Chief: Daah (napenda kusema Daaah) niko job siwezi kutoka. Nikwambie kitu??
Dogo: I am listening (dogo anajifanya ngeli imemkoleeeeea)
Chief: kwani ni lazima uondoke kesho?? Kwanza utaendaje Public holiday, wapige kiswahili home uondoke Jpili.
Dogo: Sawa, nitajaribu kumdanganya mama. Lakin akikubali inabidi tuonane Saturday.
Tukaongea mengi kishenz, main point ni kuwa dogo kajileta mwenyewe, mie wala cjamtafuta. Cjui alidata na swaga zangu that day. Na uzuri ex-gf wangu asharudi moro (what a golden chance).
YAANI MAZEE:
Sasa zile hasira zangu za cku ile, kubabake nitazimalizia Jmosi (endapo dogo hatazingua).
Yaani kubabake nitahakikisha namkamua dogo mpaka aombe poo. Ku avoid kurudia makosa, nitahakikisha dogo huyu hapa kafika (peke yake) ndio naenda kutafuta chimbo (sasa hivi pande za kulee Moveck Hotel, sitaki tena PATAYA).
Hureeeeeeee... Ngoja kwanza niende tizi mida hii, nijiweke fiti yasije yakanitokea kama yalivonitokea kwa demu wangu pale Landmark hotel (ile kuingiza tuu, waarabu haoo!!)
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
Outta millions of sperm cells, probably a billion, and this is the best product that came out. Ain't that something..?!