Hizi ndo story za kusikiliza na kujifunza. Hongera mkuu 👏🏾👏🏾👏🏾Yuko mbali sana kimaisha sababu Advance alikuja kutulia na kuachana na ujinga akapiga PCM one ya 4. Chuo alisomea nje. Mara ya mwisho nilikutana nae ana kampuni yake na kuna kazi alikuwa anafanya na Tigo. Mimi nimetoka poor family ila kusoma na watoto wa kishua imenisaidia sana... imenitoa tongotongo nyingi tofauti na ningesomea kijijini kwetu. Mimi pia sasa hivi ni wa kishua self-made
WaTz ni wabovu sana katika kupanga maisha! Kuoa, kuzaa ni kana kwamba wanakurupushwa au wanakimbilia. Sasa unakuwa na watoto, hujafanya utafiti elimu gani, inapatikana aje, itakuwa bora kwa mwanao. Ni kuufuata mkumbo, hujajizatiti kiuchumi, matokeo yake ni kujipa moyo kwa mipango ya zima moto. Tuna safari ndefu!Miezi michache iliyopita nilianzisha Uzi hapa JF wenye title" Tunaowatoa watoto wetu shule za English Medium na kuwarejesha kayumba njooni tufarijiane hapa"
Soma: Tunaowatoa watoto wetu shule za kiingereza njooni hapa tufarijiane
Lengo la Uzi lilikuwa kupata watu watakaonipa "faida" nitakazozipata kwa kuwarejesha watoto wangu Kayumba plus maneno ya kunifariji ambayo yatasaidia kujustify uamuzi wangu.
Sababu ya kuwarejesha kayumba wanangu ni kuyumba kiuchumi. Nilipata maoni mengi mazuri. Miongoni mwa maoni niliyopata hapa JF ni pamoja na:
1. Itanisaidia kuokoa pesa ambayo ninaweza ku invest katika maeneo mengine muhimu kama vile kuwanunulia viwanja na kuwajengea nyumba watoto wangu so that wanapofika level ya chuo at least kila mtu awe na nyumba yake moja.
2. Sitokuwa na stress za ada plus mbaya kuliko zote ile stress maalumu ambayo mzazi unaipata wakati mtoto wako amerudishwa nyumbani ada, wakati wenzake plus jirani zako wanaosoma kayumba wanaenda shule.
Nje ya JF nilipata ushauri kutoka kwa
1. Binti yangu; yeye yupo form three shule ya kayumba pia. Nilimsomesha English Medium kuanzia la kwanza. Anasema daddy kuna watoto wamesoma shule za kiswahili lakini wapo vizuri sana darasani kuliko waliosoma shule za kiingereza.
2. Brother wangu wa mtaani ambaye na yeye kawarudisha watoto wake kayumba. (Huyu kasomesha hadi chuo but still bado ana watoto wa primary). Alikuwaga kichaa wa shule za English medium.
Anasema mdogo wangu mtoto wako umsomeshe kayumba au English Medium mwisho wa siku wote watakufa watazikwa…(anataja jina la makaburi ya mtaani kwetu)
Akaongeza: Tofauti ya kayumba na English Medium ni lugha tu lakini mwisho wa siku wote wanaandaliwa kuajiriwa..
Kingine siku hizi watoto wanaharibika sana so hakuna guarantee mtoto wako atakuja kuwa nani hapo baadae.
Akaongeza "shule nyingi za English Medium zinawafanya wanafunzi hasa watoto wa kiume kuwa watoto walaini laini (ana experience na watoto wake mwenyewe na rafiki zake). Halafu haziwafundishi watoto kuhusu uhalisia wa maisha zaidi ya kuwakaririsha masomo so bora umpeleke kayumba akapambane na kukomaa huko.
MIEZI MIWILI BAADA YA KUFANYA UAMUZI.
1. Nimenunua kiwanja nje ya mji ( ilala rural/ mvuti) kwa Tsh. laki tisa na mwezi ujao Insha'allah nitapiga msingi( fundi wangu yupo Kinondoni ambae alinijengea nyumba yangu ya kwanza utaratibu wake wa kazi huwaga ni wewe ukiwa na hela yoyote hata laki tano niite kwa laki tano hiyo hiyo nitafanya kitu. Next time ukipata laki tatu niite. Hadi nyumba yako itakamilika. Huyu ndo alinifanya nikajenga nyumba yangu ya kwanza. Tukiwa Kinondoni shamba au Hananasif tunaangalia ndondo anapokea simu za watu anaowajengea nyumba anasema “huyu anauza mchicha, huyu mama lishe etc”. Nikawa inspired.
2. Kuhusu somo la kiingereza nimenunua vitabu na CDs ambayo madogo watakuwa wanajifunza wakiwa home plus tuition ya nguvu ya kiingereza.
Mungu akinipa uhai nitafanya vitu vikubwa sana kwenye familia yangu.
Kama uwezo wako mdogo, unaishi nyumba ya kupanga uswahilini, uchumi wako umeyumba, sikushauri uhangaike na English medium.
Mpeleke mwanao kayumba wewe upambane kutafuta hela.
Shule ni elimu, kama malezi pia unaiachia shule, ulizaa ili iweje?Shule Kama Feza mtoto atapata elimu nzuri ila kwa mtoto wa kiume siyo nzuri anakuwa laini sana na mikato ya kike.
Ukikaa na washua hawana hizo sana labda kama kazaliwa na roho mbaya. Ambao wapo obsessed na kunyenyekewa na kutishia misuli ni wale ambao maisha tumeyapatia ukubwani ila wenzetu wanaangalia ni nini unaleta mezani ili muinuke wote.. Iwe ni akili, skills ama potential yoyote uliyonayo kwa hiyo connection kuwa mutual haimaanishi wote muweke hela, ndio maana familia ya kusaga iliweka pesa ila ruge akaweka akili kuitengeneza clouds tunayoiona leo 🙏🏽Connections inatakiwa iwe mutual broh
Ukijikakamua kupeleka huko iwe kwa ajili ya elimu bora sio connections za kujipendekeza sabb huko no body gives a f#@&^
Yes, nimekupata MkuuUkiwa na hela ndo uzitumie kizembe mkuu? Hiyo haipo. Mpeleke Kayumba halafu msimamie vizuri atatoboa tu mkuu.
Umeongea point nzuri sana halafu tena unataka kuharibu.
Umesema English Medium za waswahili nyingi ni ovyo. Ni ubabaishaji mtupu.
Hapo sawa umesomeka mkuu.Mkuu
Any shule inayofata British GCSE au International Baccalaurette (IB) ndio international school hizo zingine ni shule za Kitanzania za private tu
Nafikiri bado hatujaelewana nini maana ya International School hapa Tanzania
Mna confuse shule ya Tanzanian curriculum ambazo ni private ambazo ni sawa tu na shule za serikali kimuundo
The real international school we are talking about here are IB and GCSE based schools not otherwise
Do not confuse please
Unalipa mamilioni ili mtoto awe na mwandiko mzuri 🤣🤣🤣🤣 umepigwa mkuuNina mtoto anasoma la Kwanza ila ana mwandiko mzuri kuliko darasa la 7 wa Kayumba
Anapiga hesabu za darasa la 4
Nina mtoto anasoma la Kwanza ila ana mwandiko mzuri kuliko darasa la 7 wa Kayumba
Anapiga hesabu za darasa la 4
Watu sasa wanajitahidi angalau kupeleka watt huko sabb ya mazingira mazuri ya kujisomeaHapo sawa umesomeka.
Nilitaka kushangaa aisee.
English Medium hizi hizi za kumilikiwa na Mr. And Mrs Mugetta, mtaala wa Necta, walimu wanakimbia kila siku kwa kutolipwa mishahara ndio niwalipe milioni hao kwa mwaka aisee nitakuwa na kichaa ama nini
I agree with you. Elimu bora ipo International school sio hizi English Medium za kumilikiwa na waswahili akina Mr. And Mrs Mugetta. Ni ubabaishaji mtupu ni sawa na kayumba tu ambazo zinafundisha kwa KIINGEREZA.Watu sasa wanajitahidi angalau kupeleka watt huko sabb ya mazingira mazuri ya kujisomea
Elimu bora iko international schools
Ndugu umaskini unakujaga na mambo mengi ya kushangaza. Kuna watu tulimaliza nao form six 2006 na walifaulu vizuri ila wengi waliamua kusomea education kwa sababu ya kupata ajira kirahisi ya ualimu. Hii ilitokana na wao kuhofia wakisoma kitu kama Bcom watakosa ajira na kushindwa kusaidia familia. Mimi pia nilienda kinyume kabisa na hayo maoni na sijawahi kujutia. Kimsingi kuimaliza poverty cycle inahitaji uwendawazimu fulani.Hizi ndo story za kusikiliza na kujifunza. Hongera mkuu 👏🏾👏🏾👏🏾
Shule Kama Feza mtoto atapata elimu nzuri ila kwa mtoto wa kiume siyo nzuri anakuwa laini sana na mikato ya kike.
Umeumia Naona mie kuwazidi Naona. English olevo Nina B nzuri kabisa.Contents is the same = The content is the same. Ulikuwa unawazidi kwa kiingereza cha hovyo.
Ujinga mtupu, nyie ndio mnaharibu watoto bila kujua, muda wa darasani ni darasani, muda wa kucheza ni kucheza muda wa kulala ni kulala, muda wa kula ni kula, muda wa kuangalia tv nj kuangalia na sio vinginevyo.Unalea watoto kama kuku wa kinyeji hao watakuwa ni watoto lkn sio watoto bora.Tuition zipo
Komenti ya mwaka mkuu. Ubarikiwe sana mkuu. Nimejifunza kitu kwako. Mkuu Wyatt Mathewson unasemaje hapo?Umeumia Naona mie kuwazidi Naona. English olevo Nina B nzuri kabisa.
Nikapata na division one ya single digits. Sio kuwa kula chakula ama kulala regency hotel ndio na wewe utakuwa tajiri.kulipa hela kubwa Ada sio kuwa ndio utaongezeka uwezo wa nguvu za kichwani. Yaani Kama wew Ni mvivu hata uwe wapi uvivu wako upo tu.
Fanya mpango tufanye test ya British council ndio tuone nani Ni Nani. Na uelewe kiswahili nimejifunza nilipoanza la kwanza. Niko kidato Cha Pili naongea English. Ubongo wetu Ni wa ajabu mno na uwezo wa ajabu kuliko unavyowaza.
Kuna jamaa tulisoma nao huko urusi. Yaani mtu anafika anasoma Russian language Yuko above let say 23yrs akamaliza six hapa home. Akishamaliza kozi ya lugha anaanza kugonga main course yaani mwaka mmoja wa lugha.
Sasa bwana kimaajabu anaelewa vitu na vinafundishwa kwa kirusi mpaka anaanza kuwalekeza warusi.
So I can conclude that language is of immaterial to mind power for mastering various shits
Story zetu ni kama zinafanana 😁😁Ndugu umaskini unakujaga na mambo mengi ya kushangaza. Kuna watu tulimaliza nao form six 2006 na walifaulu vizuri ila wengi waliamua kusomea education kwa sababu ya kupata ajira kirahisi ya ualimu. Hii ilitokana na wao kuhofia wakisoma kitu kama Bcom watakosa ajira na kushindwa kusaidia familia. Mimi pia nilienda kinyume kabisa na hayo maoni na sijawahi kujutia. Kimsingi kuimaliza poverty cycle inahitaji uwendawazimu fulani.
Maelezo mengi sana ila sentensi ya kiingereza uliyoandika inakusaliti. Usihofu hilo ni tatizo la wengi hauko peke yako.Umeumia Naona mie kuwazidi Naona. English olevo Nina B nzuri kabisa.
Nikapata na division one ya single digits. Sio kuwa kula chakula ama kulala regency hotel ndio na wewe utakuwa tajiri.kulipa hela kubwa Ada sio kuwa ndio utaongezeka uwezo wa nguvu za kichwani. Yaani Kama wew Ni mvivu hata uwe wapi uvivu wako upo tu.
Fanya mpango tufanye test ya British council ndio tuone nani Ni Nani. Na uelewe kiswahili nimejifunza nilipoanza la kwanza. Niko kidato Cha Pili naongea English. Ubongo wetu Ni wa ajabu mno na uwezo wa ajabu kuliko unavyowaza.
Kuna jamaa tulisoma nao huko urusi. Yaani mtu anafika anasoma Russian language Yuko above let say 23yrs akamaliza six hapa home. Akishamaliza kozi ya lugha anaanza kugonga main course yaani mwaka mmoja wa lugha.
Sasa bwana kimaajabu anaelewa vitu na vinafundishwa kwa kirusi mpaka anaanza kuwalekeza warusi.
So I can conclude that language is of immaterial to mind power for mastering various shits
Upo obsessed sana na KIINGEREZA wewe. Unadhani kujua kiingereza ndio kipimo cha akili?Maelezo mengi sana ila sentensi ya kiingereza uliyoandika inakusaliti. Usihofu hilo ni tatizo la wengi hauko peke yako.
Ni kawaida ya brain kutafuta faults, errors,mistakes, blunders etc. Sikuoni Kama una kosa Bali Ni nature ilichokuzawadia sema inatakiwa upambane ufanye recoding Kama sio reprogramming ili uweze kuushinda ubongo wako dhiidi ya reptile brain,tumia cortex achana na limbic and amygdaly brains zitakupotezaMaelezo mengi sana ila sentensi ya kiingereza uliyoandika inakusaliti. Usihofu hilo ni tatizo la wengi hauko peke yako.