Kama nimefikia kiwango cha kuanza kufananishwa na mentor wangu basi itakuwa nami nimeanza kuwa smart. I take it as a compliment.Wewe ndo utakuwa Ontario mwenyewe haswaaaaaaa!!! Pengine umekuja kwa ID tofauti [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Napingana na wewe,, usipofata masharti ya kutrade forex unapata hasara tena ya nguvuNimefuatilia thread zote za Ontario na Forex yake na nimegundua yafuatayo.
1: Hii biashara sio real maana hakuna biashara ya kupata faida tu au asilimia kubwa wanapata tu faida hakuna hasara.
2:Huwez kupata ukwel wa hii biashara kuputia jf maana Ontario anapata faida kubwa kwa training na jf wanapata %.
3: Thread na comments za wanaosema ukwel zinafutwa maprma sana ivyo ni ngumu kupata upande wa pili wa story.
Unataka wapate hasara au?1: Hii biashara sio real maana hakuna biashara ya kupata faida tu au asilimia kubwa wanapata tu faida hakuna hasara.
Sasa wewe unataka ukweli kutoka kwa mtu mmoja? kwanini usifanye utafiti kama kweli una kichwa chenye akili?2:Huwez kupata ukwel wa hii biashara kuputia jf maana Ontario anapata faida kubwa kwa training na jf wanapata %.
Thread gani imefutwa?3: Thread na comments za wanaosema ukwel zinafutwa maprma sana ivyo ni ngumu kupata upande wa pili wa story.
Well said[emoji106]Hakuna haja ya mrejesho....nyie hamuiamini forex alafu kila siku mnataka mirejesho? chakufanya ni kufanya kama hujawahi kuisikia alafu endelea na michakato mingine
[emoji14][emoji28][emoji28]Mkuu wala usibadilike baki hvohvo ukiamini Forex Ni utapeli!!!!hata mm wamenitapeli kwan week peeke Ni faida ya 250$ kutok mtaji wangu Wa 200$
Hapana, Binary na FX ni vitu viwili tofauti.Hivi huyo Ontario anatumia IQ option app ya kufundishia?
We make good life now for no reason TMT change people's life.Kijana mdogo @Ontorio aliyejizolea jina kubwa na hata kubadili jina lake na kuwa Mkuu na Chief akiiitwa na watu wa rika mbali mbali wazee kqa vijana. Kijana huyu ameleta sauti za matumaini kubwa miongoni mwa watu wengi, binafsi nampongeza sana kwa jitihada alizozionyesha.
Bila shaka mpaka sasa zaidi ya watu 500 watakuwa wamepata mafunzo kutoka kwa kampuni yake ya TMT (The Million Team). Nashukuru kuwa amewahi kuleta ushahidi wa mafanikio hapa jukwaani japo angali kwa watu wachache.
Uzi huu unalenga kuitisha mrejesho huru usiofungamana na UPANDE wa TMT bali uwe huru kwa maana ya kwamba wanufaika wote watupw mrejesho. Bahati nzuri asilimia zaidi ya sabini ni wanachama humu. Nataraji kuwa zaidi ya wanufaika mia tatu wamo humu. Idadi hii ni kubwa sana nilitarajia tuanze kuona thread za members wengi zikibadilika humu kutoka kulia maisha magumu na kulia kwa furaha za mafanikio.
Hebu ninaomba wanufaika wote tuje hapa tutoe mrejesho huru usiopendelea, kama umenufaika au umenusurika. Mrejesho huu pia unaweza kutoa taswira juu ya biashara hii kwa wakati ujao. Kumbuka watu wengi wakiishia kulalamika kwa kuliwa serikali sikivu ikisikia itajua ni utapeli na itafunga, hivyo natumaini pia kuwa mrejesho huu utanufaisha TMT kwa kuchukua hatua za kuboresha ama kuharibu kutokana na ubora kuzidi.
Asante
Majaribu2013
Mtoto wa Ontorio.