Mrejesho: Forex ya Ontario

Mrejesho: Forex ya Ontario

Wewe ndo utakuwa Ontario mwenyewe haswaaaaaaa!!! Pengine umekuja kwa ID tofauti [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kama nimefikia kiwango cha kuanza kufananishwa na mentor wangu basi itakuwa nami nimeanza kuwa smart. I take it as a compliment.
 
Nimefuatilia thread zote za Ontario na Forex yake na nimegundua yafuatayo.
1: Hii biashara sio real maana hakuna biashara ya kupata faida tu au asilimia kubwa wanapata tu faida hakuna hasara.
2:Huwez kupata ukwel wa hii biashara kuputia jf maana Ontario anapata faida kubwa kwa training na jf wanapata %.
3: Thread na comments za wanaosema ukwel zinafutwa maprma sana ivyo ni ngumu kupata upande wa pili wa story.
Napingana na wewe,, usipofata masharti ya kutrade forex unapata hasara tena ya nguvu
 
1: Hii biashara sio real maana hakuna biashara ya kupata faida tu au asilimia kubwa wanapata tu faida hakuna hasara.
Unataka wapate hasara au?
2:Huwez kupata ukwel wa hii biashara kuputia jf maana Ontario anapata faida kubwa kwa training na jf wanapata %.
Sasa wewe unataka ukweli kutoka kwa mtu mmoja? kwanini usifanye utafiti kama kweli una kichwa chenye akili?
3: Thread na comments za wanaosema ukwel zinafutwa maprma sana ivyo ni ngumu kupata upande wa pili wa story.
Thread gani imefutwa?

Nakushauri fanya utafiti, forex haifanyi jf forex inafanywa dunia nzima, acha kukaa na kuongea porojo zisizo na maana!!
 
f36e2a67bb420f6771f2c6ade21e5489.jpg

Withdraw yngu ya kwanza!..
Wiki nne ya live trading,akaunti imekua ivo kutoka 199$
 
Hakuna haja ya mrejesho....nyie hamuiamini forex alafu kila siku mnataka mirejesho? chakufanya ni kufanya kama hujawahi kuisikia alafu endelea na michakato mingine
Well said[emoji106]
 
Haijalishi watu wanasema nini, mafanikio ambayo yameanza kuonekana kwa wengi wetu ni uthibitisho tosha wa jinsi TMT ilivyo fanikiwa kubadili maisha kupitia fursa ya forex trade.

Mimi kama mmoja wa wanufaika nampongeza sana Ontario kwa moyo na nia ya kutufikia vijana wengi ili kupambana na makali ya maisha
 
Tupo mkuu tunapiga mzigo kwa sana,binafsi nampongeza sana ONTARIO kwa kazi hii nzuri naiona kabisa future yangu ikiwa nyingine baada ya mwezi mmoja ujao
 
Kijana mdogo @Ontorio aliyejizolea jina kubwa na hata kubadili jina lake na kuwa Mkuu na Chief akiiitwa na watu wa rika mbali mbali wazee kqa vijana. Kijana huyu ameleta sauti za matumaini kubwa miongoni mwa watu wengi, binafsi nampongeza sana kwa jitihada alizozionyesha.

Bila shaka mpaka sasa zaidi ya watu 500 watakuwa wamepata mafunzo kutoka kwa kampuni yake ya TMT (The Million Team). Nashukuru kuwa amewahi kuleta ushahidi wa mafanikio hapa jukwaani japo angali kwa watu wachache.

Uzi huu unalenga kuitisha mrejesho huru usiofungamana na UPANDE wa TMT bali uwe huru kwa maana ya kwamba wanufaika wote watupw mrejesho. Bahati nzuri asilimia zaidi ya sabini ni wanachama humu. Nataraji kuwa zaidi ya wanufaika mia tatu wamo humu. Idadi hii ni kubwa sana nilitarajia tuanze kuona thread za members wengi zikibadilika humu kutoka kulia maisha magumu na kulia kwa furaha za mafanikio.

Hebu ninaomba wanufaika wote tuje hapa tutoe mrejesho huru usiopendelea, kama umenufaika au umenusurika. Mrejesho huu pia unaweza kutoa taswira juu ya biashara hii kwa wakati ujao. Kumbuka watu wengi wakiishia kulalamika kwa kuliwa serikali sikivu ikisikia itajua ni utapeli na itafunga, hivyo natumaini pia kuwa mrejesho huu utanufaisha TMT kwa kuchukua hatua za kuboresha ama kuharibu kutokana na ubora kuzidi.

Asante
Majaribu2013
Mtoto wa Ontorio.
We make good life now for no reason TMT change people's life.
Continue to say they are scammers while we are downloading money..hahahaaa
 
Tulishawaambia.....mtuache wenyewe. Kila mtu na maisha aliyochagua. Hakuna mtu aliyeanza kutrade kwa live through ONTARIO kwa week 2 au zaidi ambaye hajarudisha pesa yake. Huko baadaye hata ikiwa hivyo mnavyotaka nyinyi.....freshi tu maana hela tushapata.

Wapo waliopata faida kisha wakaunguza akaunti ikabidi wafund tena.

Wapo ambao hatujawahi kuunguza na tunapiga hela.

Wapo ambao hawajabreakeven....ndio maisha. There we go
 
Back
Top Bottom