Mrejesho: Haya ni matatizo mbalimbali tuliyoyagundua katika baadhi ya nyumba zenye tatizo la bili kubwa ya umeme

Mweshimiwa ulinisaidia na unazidi kunisaidia asante gad saiv mm ni fundi electronics bila kusoma nitaelezea kwenye uzi maalum

Qn
 
Na kuna wateja ngangari hawashauriki
[emoji23][emoji23][emoji23]dawa yao nilisuka step down transiformer nika nunua betri N200 nikafunga charger control nika imodify ikijaza betry ina zima na transiformer pia yan umeme ukiisha mm natumia kila kitu geto kwangu kana kawa na umeme wajanikatia nikaiba tena hapo ndio walijuta.

Qn
 
Washing machine ni baba lao.

dodge
Ok mi nataka kununua hiyo mashine vipi mambo ya kufua mashuka na mataulo na ma jeans na ma boxer kibao je inakula sana moto nipe uzoefu. Mi naona bora kuipangia bajeti.
 
duka lako la vifaa vya kieleltroniki lipo wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa
 
Nilikuwa na mpango wa kutafuta washing machine ya 9kg kumbe naongeza matumizi makubwa.
Inategemea na aina ya mashine, ya dada yangu round moja ya kufua hata haizungushi unit moja ya umeme. Vifaa vingi vipya vya umeme vimetengenezwa kutokula umeme mwingi so just buy a new one achana na electronics za mtumba.
 
Kumbe wizi nao ni jambo la kujisifia.
Sawa Mr Kilimanjaro naona tendo limesadifu jina lako
 
Wiring ni tatizo,kuna nyumba zimefanyiwa wiring za kizamani mfano mahali pa kutumia electrical cable ya 2 panatumika 1.5.

Huwa wataalamu wa umeme wanashauri 1.5 waya utumike kwenye taa na vitu ambavyo avitumii umeme mwingi.

Madhara yake ni kupunguza efficiency ya kifaa husika nakupelekea umeme kwenda mwingi mfano freezer badala ya kuchukua Massa 5 kugandisha linaweza chukua mpaka 5days kufreeze kiasi fulani cha mzigo kilichobeba .

Ila kwa nyumba za kupanga unaweza ongea na landloard ukatumia sub meter bei yake ni simple tu 35,000/= hii inasoma kiasi cha umeme ulichotumia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…