Mrejesho: Je, nikimuacha nitakuwa nakosea?

Mrejesho: Je, nikimuacha nitakuwa nakosea?

Daah! Bahati haiji mara mbili, kupitia kwako angepata vingi sana. Ilitakiwa muheshimiane na kila mmoja aheshimu hisia za mwenzake.

Nakutakia maisha mema ili upate atakae kufaa maishani bibie, usikate tamaa mapema bali kabla ya uhusiano au kutoa k jaribu kudadisi na kufanya upelelezi juu ya uliyempata kuelewa mazingira aliyokulia, familia yake ikoje, anapenda nini, ana umri gani, mahusiano yake ya mwanzo alikumbana na nini, amekupendea nini, etc
 
Daah! Bahati haiji mara mbili, kupitia kwako angepata vingi sana. Ilitakiwa muheshimiane na kila mmoja aheshimu hisia za mwenzake.
Nakutakia maisha mema ili upate atakae kufaa maishani bibie, usikate tamaa mapema bali kabla ya uhusiano au kutoa k jaribu kudadisi na kufanya upelelezi juu ya uliyempata kuelewa mazingira aliyokulia, familia yake ikoje, anapenda nini, ana umri gani, mahusiano yake ya mwanzo alikumbana na nini, amekupendea nini, etc
Nilifanya haya nasikia niliowatuma hawakufanya kazi nzuri
 
tuwe frends with benefits' tu, sitakuomba upike, sitakuomba feza, cheki ppm bibie
hutajutia
 
umefanya uamuzi mzuri ila nakushauri we date tuu na mtu mwingine maisha ya upweke ni mabaya sana niulize mimi.
 
Safi kabisa hiyo familia ya matapeli waliona fursa na nikuhakikishie kuolewa ulikuwa hauolewi,ilibakia umchukulie mkopo huyo mwanaume,cha muhimu mwanaume asojua majukumu yake hafai!hafai!hafai!
 
Hahaha, Hongera kwa kufanya uamuzi mzuri maana huyo mbeleni angekusumbua mno.
Huyu demu ndio angemsumbua mchizi huko mbele, bora mwamba kajikataa mapema, demu gani anapika kwa maonesho eti aonekane anajituma [emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom