Mrejesho: Je, nikimuacha nitakuwa nakosea?

Mrejesho: Je, nikimuacha nitakuwa nakosea?

Mwanamke akikuzid kipato Ni kuish nae kwa akil Kuna ile sometime kujifanya wako juu kidogo hyo inategemea na uwezo wa aki l wa mwanaume kujua.

Ukiona mwanamke aliekuzid kipato Kuna mambo anafanya kuhusu familia yenu jua Kuna kitu wanahtaji toka kwako.

Huwa hawitaji pesa wanahtaji muda wako,kujali kwako,uwepo wako sehemu atakazo kuhitaji, na mawazo yako katika kuendelea kumuongezea kipato tatizo kubwa huwa katika muda hapo ndio changamoto.kuna wakat uko katika harakati zako yeye anakuhtaji katika mambo yake usipo tokea kanuna
 
Pole na hongera, ila kuna wanaume wamezidiwa vipato na wanawake lakini they still play big, Muombe Mungu akupe mwanaume mwenye mapenzi ta dhati bila kujali hali ya kipato au material things, unaweza kumpata aliyekuzidi kipato nae akawa worse zaidi
Daah! Nimesikitika sana, Wanaume wenye vipato vya chini tunatengwa vibaya sana kumbe..

Kweli pesa sabuni ya roho..
 
Matatizo uliyonayo yanashabihiana kabisa na yangu.Nilichofanywa na mdada mwenzako like sitaki kuwa na mwanamke tena.Nakuelewa unaposema "SITAKI MAHUSIANO KWA SASA" maana am at the same situation. Ila Mungu yupo atajibu.I wish tungekuwa majirani tuwe tunakaa pamoja tuna share mawazo na kuangalia what a way forward .
Pole sana
 
Matatizo uliyonayo yanashabihiana kabisa na yangu.Nilichofanywa na mdada mwenzako like sitaki kuwa na mwanamke tena.Nakuelewa unaposema "SITAKI MAHUSIANO KWA SASA" maana am at the same situation. Ila Mungu yupo atajibu.I wish tungekuwa majirani tuwe tunakaa pamoja tuna share mawazo na kuangalia what a way forward .
Pole sana
Pole pia ndugu yangu. Tutafarijiana tu

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Am officially single na sina muda wa kudate tena. maana nkidate ss sitakuwa na imani na mtu, sitapika narudia SITAPIKA maana inauma kujituma halaf unaambiwa ulkua unakunja nne unapikiwa!
Mimi kupenda tena mwanaume niliyemzidi kipato nipigwe narudia nipigwe NAWASILISHA!

Bado una hasira, ukishapoa na ukapenda tena utapika vizuri tu, tena chakula kitamu zaidi.

Mshkaji umemuacha wakati bado unampenda tena sana. Baada ya mda utampata atakaekusahaulisha machungu, utakuwa sawa. Haya mambo hayana rules.

Pole.
 
Bado una hasira, ukishapoa na ukapenda tena utapika vizuri tu, tena chakula kitamu zaidi.

Mshkaji umemuacha wakati bado unampenda tena sana. Baada ya mda utampata atakaekusahaulisha machungu, utakuwa sawa. Haya mambo hayana rules.

Pole.
Asante, na nampenda kweli mwanangu acha

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom