😂😂😂😂😂Ewaaaa.
Asante sana kwa kufata ushauri wangu na sasa niko tayari kukupokea nikupe mahaba ya dhati, pia mashine nakupiga january hadi december.
Nilifanya haya nasikia niliowatuma hawakufanya kazi nzuriDaah! Bahati haiji mara mbili, kupitia kwako angepata vingi sana. Ilitakiwa muheshimiane na kila mmoja aheshimu hisia za mwenzake.
Nakutakia maisha mema ili upate atakae kufaa maishani bibie, usikate tamaa mapema bali kabla ya uhusiano au kutoa k jaribu kudadisi na kufanya upelelezi juu ya uliyempata kuelewa mazingira aliyokulia, familia yake ikoje, anapenda nini, ana umri gani, mahusiano yake ya mwanzo alikumbana na nini, amekupendea nini, etc
Chapati? Unazipenda?ah jamani
sanaChapati? Unazipenda?
Basi wewe tu. Naomba ajira jamanisana
andaa cv yakoBasi wewe tu. Naomba ajira jamani
Yaani we niambie tu nikutumie pm au whatsapp.andaa cv yako
Huyu demu ndio angemsumbua mchizi huko mbele, bora mwamba kajikataa mapema, demu gani anapika kwa maonesho eti aonekane anajituma [emoji3][emoji3]Hahaha, Hongera kwa kufanya uamuzi mzuri maana huyo mbeleni angekusumbua mno.