Mrejesho juu ya mwanamke wangu alieenda ofisini na love bite

Mrejesho juu ya mwanamke wangu alieenda ofisini na love bite

Kwahiyo wewe mumeo ama mpenzi ukisikia anakusaliti na wewe unamsaliti? Kama kweli ndicho unachomaanisha hapa basi makahaba ni wengi sema hawana alama.

Nafkili labda hujamuelewa alichomaanisha nikwamba uselfish sio mzuri lakini pia kila mtu awehuru kutafuta amani na maisha yake wewe uko mwanza mwanamke wako yupo dar ivi wewe kwaakili yako tu yakawaida huyo mwanamke et atakaa akusubilie wewe huko na aujilikani utarud lini ukweli nikwamba wanaume sisi tuacheat wala askate mtu hapa, sasa ujue kama wewe inafika muda unahtaji kuafanya mapenz sababu ya hisia zako bas hata uyo mwanamke uliomuacha dar nayeye kuna muda anahtaji kufanya hicho kitu the same naatafanya tu na hautojua kama wewe unavyo fanya huko ulipo bila yeye kujua sasa kama hutaki drama nakushauri achana na mapenz ya long distance relationship sababu ni upuuzi na drama mnaleteana kwani mkiacha kila mtu akatafuta wakaribu yake kunashida gani ili kuondoa ma migogoro kama ya mtoa mada hapo ana lalamika kagongewa na nikweli kagongewa sasa yote yanini
 
Wenye mavifua yao ya kutuna hawasimlii simlii kila kitu bana sema ulikasirika tu km mwanaume wa dar basi
 
Well done and pole sana. There is someone for everyone. Wa kwako yupo tu pahala and the universe will eventually bring you two together sikumoja.
 
Dhambi kuu aliyofanya shetani Magufuli ni kuhamishia watu Dodoma na kuharibu mahusiano mengi hata ndoa. Huko alipo afe tena na aliwe na funza wa Gambosh.
Dislike this comment here!
 
A real man, one in a million...
Mwengine angetaka aende Dom, huko yeye anaanzisha mahusiano mapya, halafu anataka aliyemuacha Dar aishi kitakatifu[emoji1787] eti amtunzie[emoji1787]

Men are selfish...except you my friend[emoji1787]
Kaka alisema kila wiki anaenda dar,sasa huyo dada ana nyege gani?siwezi kushindana na mwanaume mimi

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Ndo maaana sijaona taarifa ya mauaji ya wapenzi kwenye magazeti. Ongera sana.
Demu haujamkuta na bikra anakuumiza kichwa kwa lipi?
Achana nae.walipita,umepita wataendelea kupita.hicho ni chombo cha starehe.
Sasa usimuache.endelea kula mzigo.
Ila ndoa asahau
 
Habar za humu ..
Moja kwa moja bila kupoteza muda naomba kutoa mrejesho kuhusu mchumba wangu kuonekana na love bite shingoni..
Siku ile naandika hapa nilikua na hasira kali na isiyo elezeka niliazimia kurud dar ili nikamalizane nae kama nilivoandika pale.
Ila baada ya kuleta bandiko langu hapa nilisoma maoni ya wadau mbali mbali kwa kweli niseme kile nilichokua nawaza kichwani kumfanyia hakika Kingeweza kuleta madhara makubwa ulemavu wa kudumu au kifo..
Sasa nilichokifanya baada ya kusoma maoni hapa nili cancel safari ya kwenda dar nikaamua kubaki Dodoma ili nijipe muda wa kuwaza na kutafakari vizuri na kuituliza hasira yangu..

Baada ya kukaa na kutafakari kwa kina niliona hakuna sababu ya kumpiga au kufanya fujo yoyote juu yake.
Niliamua ntamuacha aendelee na maisha yake na mm niendelee na maisha yangu..
Na tangu jumatano nipo dar na nilimuita nyumbani na nikamuuliza japo alibisha nilimbana sanaaa mpaka akaeleza ukweli wote..
Ukweli ni kwamba alinisaliti, nilimueleza siwez kuendelea nae tena lkn muda wote niliokua naongea nae nilibadilika sura ilabadilika kifua kikatuna kwa hasira ila kwa vile tiari nilikua nishosoma maoni mengi ya wadau hapa sikumpiga hata kibao ..

Nilimuamuru achukue kila kilicho chake au anachoona kinafaa na vyote nilivomfanyia nilimuambia abaki navyo tu.
Japo aliomba sana msamaha na kulia hakika sikumuelewa sabab moyoni alishatoka..
Alikua mgumu kuondoka na ilikua ni mida ya saa tatu usiku , kwa jinsi nilivokua nimechukia hakuwah kuniona katika hali kama hiyo ya kukasirika kiasi kile, nilimuambia nakupa lisaa limoja nikirudi nikikukuta humu ndani kichwa chako kitakua ni halali yangu.. nikaondoka nikaenda sehem nikakaa sikutaka kutumia kilevi chochote nilikunywa maji tuu saa sita usiku nilirudi sikumkuta..
Japo tangu juzi nimekua nikitafutwa na ndugu zake na marafiki zake sijapokea simu zao sababu sina mpango wa kumsamehe.
Naamini Mungu atanipa wangu sahihi kwa wakati Muafaka..

Wanawake nawasihi usaliti sio kitu kizur wanaume huwa hatuna roho ya kumsamehe msaliti. Ukiamua kusaliti Linda heshima ya mtu wako fanyia mbali uovo wako ila za mwizi ni arobaini..
Asanteni sana kwa ushauri wenu hakika pengine sa hii ningekua jela..
Ila omba yasikukute kusalitiwa na mchumba inauma sana...
Ploe mkuu
 
A real man, one in a million...
Mwengine angetaka aende Dom, huko yeye anaanzisha mahusiano mapya, halafu anataka aliyemuacha Dar aishi kitakatifu[emoji1787] eti amtunzie[emoji1787]

Men are selfish...except you my friend[emoji1787]
Umempa sifa ya bure tu long distance haina shida kabisa it really depends on the personality and needs and wants. I had been in a long distance relationship years ago. We ended up getting [emoji23] and stayed together for 4 years before our relationship finally came to an end lakini umbali haukua sababu

Everyone has different coping mechanisms and emotional resilience, so one person may find a long distance relationship more difficult than another person. Mm naipenda sababu binadamu kiasili huwa tunapenda uhuru kidogo, kubanana sana sio
 
Nicely done brother [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]..Now, u got to move on.
 
Mkuu hongera sana kwa maamuzi uliyofanya, Ila changamoto bado ipo pale pale, Sidhani kwa dunia ya leo kuna wanawake waaminifu kabisa 100%, coz sahv utatafuta mwanamke mwingine ambaye ni X wa mwanaume mwingine na hujui sababu iliyowafanya wakashindwana na mtu wake, so cycle ni ile ile

Me nnapoelekea naona akili yangu ishaanza kukubaliana na huu ukweli, so napambana mwanamke ntayefanya naye maisha at least anizalie watoto wa damu yangu.

Haya mengine nishakubali sitaweza kuyazuia.Naifanyia training akili yangu kwa maslahi ya afya yangu. Sitaki niruhusu kuumizwa na mapenzi
Wapo wanawake waaminifu 100% lakini ni kwa uchache sana,Cha kushangaza wanapata wanaume wasioeleweka
 
Analia kwasababu umemkamata na sio amekusaliti. Usingemkamata angeendelea hivyo.

Usaliti ni ishara kuwa hayupo tayari kuwa na wewe tu. Au anaiga na kufikiri kuwa na wengi ni mahusiano. Basi muache akaendelee huko. Wewe hustahili kufanywa bwege. Yaani uhudumie halafu raha wafaidi na wengine?

Pole mkuu. Umefanya maamuzi sahihi.
 
Back
Top Bottom