Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Au kupewa kesi ya shambulio la aibu/udhalilishaji/kubaka.Halafu ajidai kujishangaza na kuapa kwa miungu wa kijijini kwao.Acha hizo mambo,siku utapigiwa kelele za mwizi.
ππππ niliganda kwanza pale mlangoni kwa muda, acha tu yani sitamani hata hiyo siku ijirudieYaan nawaza jinsi ulivyokua baada ya kufukuzwa [emoji1787] pole sana.
Wewe unaongea tu lakini dem akiamua umgongi umgongi labda umbake, acheni mambo ya motivation speaker kudhani kwamba kila kitu ni rahisi rahisi ivoKama ningekuwa baba yako nisingekurithisha hata mifugo.Mifugo wangekuzidi akili na kuanza kukuongoza.Shame!
HahahaDaah..nimekubali mkuu yani kuanzia sahizi ni mikausho mikali tu
Kwani nimefanyaje mkuu mbona nilitoka kirahisi tuAcha hizo mambo,siku utapigiwa kelele za mwizi.
Huyo ni danga anachotaka kwako ni hela yako,na wewe ulishamuambia hiyo hela huna sasa ulitegemea nini toka kwake.Wakuu kama mnakumbuka juzi niliwaeleza kuhusu yule singe mother alieniletea shobo nikaamua kumchombeza akaniomba laki kwa kisingizio kwamba anadaiwa. (Sikumpa)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kubali yaishe mwamba alafu uyo manzi ukimla utashindwa kuleta milupo yako ujue bora ata amekuzingua
Sawa mkuuNi stahiki yako hiyo.
Tulia anzisha familia yako
Ulipewa nafasi ya kwanza akakuruhusu uingie ndani mwake.Hapo ulimuweka mabanoni.Ungetumia ushawishi na akili ummung'unye. Nini kilikusababisha utoke chumbani mwake halafu utake kurudi?Hopeless kabisa!Unataka ufundishwe kufunga penati? Kijana wa hovyo!Wewe unaongea tu lakini dem akiamua umgongi umgongi labda umbake, acheni mambo ya motivation speaker kudhani kwamba kila kitu ni rahisi rahisi ivo
Vijana wa kizazi hiki mbingu tutaisikia tu mnakera ghatari.Wakuu kama mnakumbuka juzi niliwaeleza kuhusu yule singe mother alieniletea shobo nikaamua kumchombeza akaniomba laki kwa kisingizio kwamba anadaiwa. (Sikumpa)
Sasa mbona ulikuwa unanishauri ujinga kwenye coment zakoAu kupewa kesi ya shambulio la aibu/udhalilishaji/kubaka.Halafu ajidai kujishangaza na kuapa kwa miungu wa kijijini kwao.
Haushauriwi ujinga. Unapimwa kama akili zako zimechachuka au zinafanya kazi accordingly!Sasa mbona ulikuwa unanishauri ujinga kwenye coment zako
Aisee nimeelewa hiliHuyo ni danga anachotaka kwako ni hela yako,na wewe ulishamuambia hiyo hela huna sasa ulitegemea nini toka kwake.
Hakika mkuuHii ndo comment sasa Demu unayekaa nae jirani sio wa kumla, utashindwa kubadilisha taste
Kuniruhusu kuingia mwanzo ni pale alipodhani nimemletea hela kumbuka hiloUlipewa nafasi ya kwanza akakuruhusu uingie ndani mwake.Hapo ulimuweka mabanoni.Ungetumia ushawishi na akili ummung'unye.Nini kilikusababisha utoke chumbani mwake halafu utake kurudi?Hopeless kabisa!Unataka ufundishwe kufunga penati? Kijana wa hovyo!
πππVijana wa kizazi hiki mbingu tutaisikia tu mnakera ghatari.
Kweli kabisaAu kupewa kesi ya shambulio la aibu/udhalilishaji/kubaka.Halafu ajidai kujishangaza na kuapa kwa miungu wa kijijini kwao.
Usawa huu Siwez kununua mbususu kwa elfu amsini huo utakuwa ufala wa hali ya juuHela huna yaani laki huna hata nusu yake huna ila unataka mashine oops
Sasa ulifuata niniUsawa huu Siwez kununua mbususu kwa elfu amsini huo utakuwa ufala wa hali ya juu