Mrejesho: Kanifukuza ndani

Dah! Hiyo huwa inakata stimu sio poa! Kuna mwanamaza nilizoea kumshika trackle na kulibinya, yeye akawa anacheka tu! Siku moja asubuhi nikalidaka nikaliminya, niliskia "We mpumbavu, tabia ya kunibinya matako iishe leo, sijawa mkeo mimi, kuwa na adabu" Halafu kwa sauti kubwa aisee!

Nilibaki nakenua tu, hadi aibu, Dah! Kama ulimwengu mzima uliona vile, miguu ikawa kama inaingia tumboni vile [emoji23][emoji23][emoji23] Simon Collect
 
Daah acha tu kaka😃😃
 
Huyo anajiuZA unge bargain tu

Ungemwambia nina 50k ila njoo ghetto bila pichu..

Akikataa unamwambia basi sawa

Ame assume hela yako haina thamani ila mwili wake ndo una thamani?[emoji1787]
 
Mjini haPa kama ulishasikia haPendwi mtu linaPendwa Pochi ndio kama hivyo.

Sema ulikosea timming, huyo ungemwambia kuna kiasi kidogo umeshaPata ila kesho unatarajia kingine maana mtu wa kukuPa hela ametuma nusu aliko mtandao sio mzuri ila kesho atasogea mjini amalizie yote kirahisi kwahio asiwe na shaka kabisa.

HaPo ungePikiwa na huduma zingine kuendelea tu bila shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…