Mrejesho: Kanifukuza ndani

Huyo anajiuZA unge bargain tu

Ungemwambia nina 50k ila njoo ghetto bila pichu..

Akikataa unamwambia basi sawa

Ame assume hela yako haina thamani ila mwili wake ndo una thamani?[emoji1787]
Hata 50k sitoi Muache akafie mbele na minyama yake
 
Wakuu kama mnakumbuka juzi niliwaeleza kuhusu yule singe mother alieniletea shobo nikaamua kumchombeza akaniomba laki kwa kisingizio kwamba anadaiwa. (Sikumpa)
Daa dharau sana hizo ..sikuwah kuwa na mazoea na mwanamke yoyote tunaeishi nyumba moja ..huwa wanashuhudia nikileta tu visu tofauti
 
TAFUTA PESA BABU1[emoji1][emoji3]ule kama homonaiz au potezea uwe kama shombeshombe la kiarabu homorapa
 
Hehehe pole bro,sasa tafuta kisu kikaliii kilete pale gheto halafu fanya juhudi huyo mama akione asbuh kinapotoka....(reclaim your reputation).Akijengesha hakuna kukwepesha,hata hyo 100k itakuwa sio uzi tena[emoji16][emoji16][emoji16]
 
TAFUTA PESA BABU1[emoji1][emoji3]ule kama homonaiz au potezea uwe kama shombeshombe la kiarabu homorapa
Pesa si mchezo.
Harmonize pamoja na kufanya kosa ambako kwa baadhi ya jamii zetu halisameheki lkn msukuma kasamehe yote.
Siku harmonize atakapokwenda kutambulishwa usukumani nitashangaa Kama wasukuma watapokea mahari yake baada ya mbweha kula kuku na mayai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…