Mrejesho: Kanifukuza ndani

Kutokua na laki1 siyo kosa, ila wakati anarudi mara ya pili akajiandalia elfu20 ya dharura, angempa na ndani angeruhsiwa kuingia...
Alikosea wala asingeenda tokea mwanzo angemuita tu ndani kwake wala wasingechomoa[emoji16]
 
Kwanza haujiamini,

Ungekuwa unajiamini usingeenda room kwa huyo mmama na kuanza kujieleza kuhusu kukosa hiyo laki,

Ungemuita geto kwako na angekuja kwa kujua umemuitia pesa,,,ungemuimbisha chombezo ungemla na kumgea hiyo ishirini.
Naona unamfundisha mbinu akachukue point 3
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…