Mrejesho: Kilichonipata Malta ni zaidi ya Ukraine, siku 18 za kufa na kupona

Nilitaka kujua kuwa pamoja na maswahiba yote na ukala mtoto wa watu, mwisho jamaa akakuteka,yaani pamoja na kukamatwa na police Huyo aliekuwa mpenzi wa zamani wa demu wako,hakufunguliwa mashtaka?ikaishia hivyo hivyo?au nini kiliendea baadae ya thomas kukamatwa na genge lake kwa ubazazi huo?
By the way,je baby wako anapenda muendelee au ndo kakausha?au kwa nini usimualike aje Tanzania walau umpe mimba tu ili ukamilishe dili lako?
 
Hii ni chai. Kwanini?
1. Wakati polisi wamekukamata na kukuachia na ukajikuta huna nauli....ina maana we unatembea nchi za watu huna wallet yenye card ya VISA, MASTERCARD ya pesa ya dharura? Maana ungekwenda huko na usimuone mwenyeji wako uliplan kurudi vipi? Kama uliiacha hotelini, bado unaweza chukua tax na kisha ukafata card utoe mpunga umlipe au hata kupata msaada wa kumpigia mwenyeji wako(maana aliandikisha maelezo wakati wa booking)😃😃😃
2. Kiingereza cha Wakenya kinajulikana. Akiongea tu unajua huyu ni Mkenya, ina maana alipofika tu hukumjua na kuanza kubonga naye Kiswahili?😃😃😃
3. Hapo kanisani ulipopata msaada, ina maana wao ni vichaa sana wasikupeleke polisi ila wana akili ya kukupa chakula na Euro 2 na wakuache uende mwenyewe?😃😃😃

Maswali ni mengi sana mdau na kuna uongo mwingi sana.
 
Muongo tu huyo kenge wala hakwenda kokote.
 
why so serioisly
 
Pole kwa kunusurika kuliwa kiboga siku nyingine uwe unatusikiliza,ua bahati hujatolewa figo
 
Kumbe ni pazuri
 
Duh boss wangu,kwanza pole kwa matatizo ila sioni kosa lako hapo coz kusafiri ulisafiri kisheria kabisa,ulipokosea ni kuwaamini jamaa wabaguzi pale ulifeli sana mkuu
 
Jf kudanganya ni ngumu
 
Yaan mbususu yenyewe uliipasua siku moja tu ?
 
wewe ndo unaonekana mjinga
story ya kutunga hii na kila mtu anajua

unakaa chini unapoteza mda wako kutuaminisha tunachokijua
 
wewe ndo unaonekana mjinga
story ya kutunga hii na kila mtu anajua

unakaa chini unapoteza mda wako kutuaminisha tunachokijua
Nahisi ww ndio mjinga, ni wapi mtoa mada kasema ni ya kutunga? Uliyemjibu Yuko sahihi kabisa na huu ujinga wa kuwafanya watu humu mazuzu muache.
 
mkuu unatisha na evidence unaweka kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…