Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu makonda akataka kila mtanzania anunue kazi zao kwa lazimaWananikeraga kwenye kulia na majini ya kibongo, usiombe ukute mchawi anapaa yaani wote script zinafanana
Nilionaga bongo movie moja wanamtoa mgonjwa ndani afu nje kuna Gari imepaki lakini hospitali wakampeleka kwa miguuBongo movie mafala sana. Cd ina dakika 90
Matangazo dakika 30, kulia dk 25, kutembea dk 19, kupayuka dk 8. Story line dk 5, majina ya wasshiriki dk 3.
Kwanza ni chai kavu apotezee tuKama vipi kausha sio lazima
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanaigiza kuigizaNilionaga bongo movie moja wanamtoa mgonjwa ndani afu nje kuna Gari imepaki lakini hospitali wakampeleka kwa miguu
ChaiKama uzi wangu niliyowahi kuutoa kuhusu kukutana na mrembo wa Malta
Niliondoka tarehe 12 February na Qatar air na kufika tarehe 13 Malta airport na baada ya taratibu zote za uhamiaji
Nilifanikiwa kukutana na mwenyeji wangu,akiwa ameambatana na mabinti wawili na Kijana wa kiume mmoja
Waliponipokea walinipeleka resting point moja karibu na airport na kuagiza vinywaji fulani hivi,sikupata ladha ya kile kinywaji, nikakataa na kuagiza soda
Wakiwa wanaongea kiingereza kidogo wakichanganya kilugha fulani, nilihisi kama kijana wa kiume hakufurahishwa mimi kufika kuonana na binti huyo, wengine wa kike wenyewe walikuwa wanafurahi kuona shemeji yao
Binti Sarah ambaye ndiye mwenyeji wangu alinikaribisha vizuri na niwe na amani na akaniambia wanaishi Saint Julian's hivyo, tukanyenyuka tupanda basi ya kuelekea huko
Baada ya kufika huko licha ya kufika huko na kukaa na binti Sarah hotelini huko Julian's,makubwa yalipata baada ya siku tatu, makubwa mnooo
Nahitaji daktari wa saikolojia anitibu ndo nije kuendelea na simulizi,nikipona nitakuja kuendelea ,kwa sasa sipo vizuri ...........
Pia soma:
Nikawa najiuliza au mwenye hiyo nyumba waliyokodisha kuigizia kawakataza kutumia gari yake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanaigiza kuigiza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikawa najiuliza au mwenye hiyo nyumba waliyokodisha kuigizia kawakataza kutumia gari yake [emoji23][emoji23][emoji23]
Haina hata sukariChai
Yap huwa nasema..wanaigiza igizo wakati majuu wanaigiza uhalisia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanaigiza kuigiza
Nimeanza mdogo mdogoKama vipi kausha sio lazima
Mrejesho ni muhimu ili kuelewa yaliyojiriKwani umetumwa utoe mrejesho? Ungekausha tu sio kutupotezea muda tu.
Nimeanza mdogo mdogoTuvumilie aje kutupa mrejesho kamili kabla ya kuanza kutiririka hapa...
Nimeanza mdogo mdogo dadaUlikuwa kimya.. nilikucheki kabla posti yako ya mwisho.. afadhali upo. Pole kwa yaliyokusibu.. andika upewe ushauri..
NimeanzaFunguka mkuu apa ndo jukwaa pendwa la kusema ili na wengine wajifunze
Mkuu punguza jazibaWe jamaa ni kenge sana. Sasa uliandika uzi wa nini kama unahitaji daktari?
DahNo free pussy
hahahahaaaaa Nas jr bhanaAlivo na bahati mbaya,, kipindi yupo huko na mafuta yakapanda bei na aliposhauriwa ayabebe huku alidharau..