Mrejesho: Kilichonipata Malta ni zaidi ya Ukraine, siku 18 za kufa na kupona

nyinyi ndio mnaowasababishia watu kama akina gentamycine aka popoma wawe wanapigwa ban kila siku na moderator.
 
Kuna kila dalili hii ni chai tena kavu na kama sio chai basi jamaa ulipelekewa pumzi ya moto kweli kweli
 
Walikulawiti mtungo au?

Siku nyingine kuwa tayari kusimulia ndio uanzishe uzi. Haya mambo ya itaendelea achia bongo movie.
 
Washakubaka maskini
 
Hapa ndyo ninapo data na kuhisi nina nina alolo ya jf kwa nyuzi kama hizi yani full of joy🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Aisee huna hata picha ya barabara huko malta ili kutuaminisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…