Mrejesho: Kilichonipata Malta ni zaidi ya Ukraine, siku 18 za kufa na kupona

Mrejesho: Kilichonipata Malta ni zaidi ya Ukraine, siku 18 za kufa na kupona

Pole sana. Ila huko nje yanawataga makubwa sanai. Nina ndugu yangu alikutana na maswaiba Japan baada ya kujihisisha na biashara ya magari na wajapan toka kule kuleta nchini. Walianza na magari machache, yakaisha trip ya pili yakaongezeka zaidi biashara ikaenda vizuri , trip ya tatu mzigo ukaja kupotea mazima bandarini. Wajapan hawakumwelewa kabisa wakahisi kawapiga tukio ila wakasema wafatilia wenyewe wajue mzigo ulipoenda. Wakati wanachunguza wakamwalika aende Japan kupoteza mawazo. Sasa sijui yaliyompata amerudi kavurugwa anaeleza vitu havieleweki mara walitaka kumkata mikono, mara kaingizwa chumba miili ya watu imening'inizwa. Kwa sasa yupo milembe kichwa imeruka kabisa na hatujui vizuri yaliyomsibu
Japan kuna Yakuza mob.
 
Pole sana. Ila huko nje yanawataga makubwa sanai. Nina ndugu yangu alikutana na maswaiba Japan baada ya kujihisisha na biashara ya magari na wajapan toka kule kuleta nchini. Walianza na magari machache, yakaisha trip ya pili yakaongezeka zaidi biashara ikaenda vizuri , trip ya tatu mzigo ukaja kupotea mazima bandarini. Wajapan hawakumwelewa kabisa wakahisi kawapiga tukio ila wakasema wafatilia wenyewe wajue mzigo ulipoenda. Wakati wanachunguza wakamwalika aende Japan kupoteza mawazo. Sasa sijui yaliyompata amerudi kavurugwa anaeleza vitu havieleweki mara walitaka kumkata mikono, mara kaingizwa chumba miili ya watu imening'inizwa. Kwa sasa yupo milembe kichwa imeruka kabisa na hatujui vizuri yaliyomsibu

Huyo ndugu ni mwizi, aliwaibia wajapani. Kwenye usafirishaji wa mizigo hakuna kitu kama gari kupotea mazima.

Alicheza na moto amevuna alichokipanda. Tukiamua kufanya biashara, uaminifu ni mtaji mkubwa zaidi ya pesa.
 
Baada ya kushtuka usingizini, ukakuta uko home! Saa 8 mchana! Dogo anakuita 'kaka chakula tayari' [emoji16][emoji16]

Yaani hakuna cha binti Sarah! Qatar Airways, Malta guiness, wala Grand Malt! [emoji51][emoji51][emoji51]

Ngoja tuzisubirie kwanza hizi ajira elfu 32 kama nazo hazitakuwa na zengwe kama zile 6000 zilizopita kipindi kile.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nilifanikiwa ila baadae kale kajamaa kalikuja na mob ya vijana kama 14 hivi wakaniteka,nilipata shida nusu kufa
Ko kweli uliliwa mande? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pole sana. Ila huko nje yanawataga makubwa sanai. Nina ndugu yangu alikutana na maswaiba Japan baada ya kujihisisha na biashara ya magari na wajapan toka kule kuleta nchini. Walianza na magari machache, yakaisha trip ya pili yakaongezeka zaidi biashara ikaenda vizuri , trip ya tatu mzigo ukaja kupotea mazima bandarini. Wajapan hawakumwelewa kabisa wakahisi kawapiga tukio ila wakasema wafatilia wenyewe wajue mzigo ulipoenda. Wakati wanachunguza wakamwalika aende Japan kupoteza mawazo. Sasa sijui yaliyompata amerudi kavurugwa anaeleza vitu havieleweki mara walitaka kumkata mikono, mara kaingizwa chumba miili ya watu imening'inizwa. Kwa sasa yupo milembe kichwa imeruka kabisa na hatujui vizuri yaliyomsibu
Duuuuuh. Hadi inagopesha.
 
Back
Top Bottom