Mrejesho: Kilichonipata Malta ni zaidi ya Ukraine, siku 18 za kufa na kupona

Mrejesho: Kilichonipata Malta ni zaidi ya Ukraine, siku 18 za kufa na kupona

Kama uzi wangu niliyowahi kuutoa kuhusu kukutana na mrembo wa Malta

Niliondoka tarehe 12 February na Qatar air na kufika tarehe 13 Malta airport na baada ya taratibu zote za uhamiaji

Nilifanikiwa kukutana na mwenyeji wangu,akiwa ameambatana na mabinti wawili na Kijana wa kiume mmoja

Waliponipokea walinipeleka resting point moja karibu na airport na kuagiza vinywaji fulani hivi,sikupata ladha ya kile kinywaji ,nikakataa na kuagiza soda

Wakiwa wanaongea kiingereza kidogo wakichanganya kilugha fulani, nilihisi kama kijana wa kiume hakufurahishwa mimi kufika kuonana na binti huyo, wengine wa kike wenyewe walikuwa wanafurahi kuona shemeji yao

Binti Sarah ambaye ndiye mwenyeji wangu alinikaribisha vizuri na niwe na amani na akaniambia wanaishi Saint Julian's hivyo ,tukanyenyuka tupanda basi ya kuelekea huko

Baada ya kufika huko licha ya kufika huko na kukaa na binti Sarah hotelini huko Julian's,makubwa yalipata baada ya siku tatu ,makubwa mnooo

Nahitaji daktari wa saikolojia anitibu ndo nije kuendelea na simulizi,nikipona nitakuja kuendelea ,kwa sasa sipo vizuri ...........
Ulitoa mzigo
 
Kama uzi wangu niliyowahi kuutoa kuhusu kukutana na mrembo wa Malta

Niliondoka tarehe 12 February na Qatar air na kufika tarehe 13 Malta airport na baada ya taratibu zote za uhamiaji

Nilifanikiwa kukutana na mwenyeji wangu,akiwa ameambatana na mabinti wawili na Kijana wa kiume mmoja

Waliponipokea walinipeleka resting point moja karibu na airport na kuagiza vinywaji fulani hivi,sikupata ladha ya kile kinywaji ,nikakataa na kuagiza soda

Wakiwa wanaongea kiingereza kidogo wakichanganya kilugha fulani, nilihisi kama kijana wa kiume hakufurahishwa mimi kufika kuonana na binti huyo, wengine wa kike wenyewe walikuwa wanafurahi kuona shemeji yao

Binti Sarah ambaye ndiye mwenyeji wangu alinikaribisha vizuri na niwe na amani na akaniambia wanaishi Saint Julian's hivyo ,tukanyenyuka tupanda basi ya kuelekea huko

Baada ya kufika huko licha ya kufika huko na kukaa na binti Sarah hotelini huko Julian's,makubwa yalipata baada ya siku tatu ,makubwa mnooo

Nahitaji daktari wa saikolojia anitibu ndo nije kuendelea na simulizi,nikipona nitakuja kuendelea ,kwa sasa sipo vizuri ...........
Ungesubiri upone kabisa ndo uje na mrejesho full
 
Pole sana. Ila huko nje yanawapataga makubwa sana. Nina ndugu yangu alikutana na maswahiba Japan baada ya kujihusisha na biashara ya magari na wajapan toka kule kuleta nchini.

Walianza na magari machache, yakaisha trip ya pili yakaongezeka zaidi biashara ikaenda vizuri , trip ya tatu mzigo ukaja kupotea mazima bandarini. Wajapan hawakumwelewa kabisa wakahisi kawapiga tukio ila wakasema wanafatilia wenyewe wajue mzigo ulipoenda. Wakati wanachunguza wakamwalika aende Japan kupoteza mawazo.

Sasa sijui yaliyompata amerudi kavurugwa anaeleza vitu havieleweki mara walitaka kumkata mikono, mara kaingizwa chumba miili ya watu imening'inizwa. Kwa sasa yupo milembe kichwa imeruka kabisa na hatujui vizuri yaliyomsibu
 
Back
Top Bottom