- Thread starter
- #41
Nilifanikiwa ila baadae kale kajamaa kalikuja na mob ya vijana kama 14 hivi wakaniteka,nilipata shida nusu kufaAfanikiwe wapi? Kale kakinywaji kalimlevya, jamaa wakatatua marinda ya mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilifanikiwa ila baadae kale kajamaa kalikuja na mob ya vijana kama 14 hivi wakaniteka,nilipata shida nusu kufaAfanikiwe wapi? Kale kakinywaji kalimlevya, jamaa wakatatua marinda ya mtu
AndikaaaaaaaaNilifanikiwa ila baadae kale kajamaa kalikuja na mob ya vijana kama 14 hivi wakaniteka,nilipata shida nusu kufa
😂😂Yani nimeona heading tu....... Maake hapo kwanza ncheke😂😂😂😂
Wee nawe asa si umalizieNilifanikiwa ila baadae kale kajamaa kalikuja na mob ya vijana kama 14 hivi wakaniteka,nilipata shida nusu kufa
Wamepita nayo 😂😂😂marinda yapo lakin mkuu, tulikwambia kamseleleko sio kazuri.
Ulitoa mzigoKama uzi wangu niliyowahi kuutoa kuhusu kukutana na mrembo wa Malta
Niliondoka tarehe 12 February na Qatar air na kufika tarehe 13 Malta airport na baada ya taratibu zote za uhamiaji
Nilifanikiwa kukutana na mwenyeji wangu,akiwa ameambatana na mabinti wawili na Kijana wa kiume mmoja
Waliponipokea walinipeleka resting point moja karibu na airport na kuagiza vinywaji fulani hivi,sikupata ladha ya kile kinywaji ,nikakataa na kuagiza soda
Wakiwa wanaongea kiingereza kidogo wakichanganya kilugha fulani, nilihisi kama kijana wa kiume hakufurahishwa mimi kufika kuonana na binti huyo, wengine wa kike wenyewe walikuwa wanafurahi kuona shemeji yao
Binti Sarah ambaye ndiye mwenyeji wangu alinikaribisha vizuri na niwe na amani na akaniambia wanaishi Saint Julian's hivyo ,tukanyenyuka tupanda basi ya kuelekea huko
Baada ya kufika huko licha ya kufika huko na kukaa na binti Sarah hotelini huko Julian's,makubwa yalipata baada ya siku tatu ,makubwa mnooo
Nahitaji daktari wa saikolojia anitibu ndo nije kuendelea na simulizi,nikipona nitakuja kuendelea ,kwa sasa sipo vizuri ...........
Ungesubiri upone kabisa ndo uje na mrejesho fullKama uzi wangu niliyowahi kuutoa kuhusu kukutana na mrembo wa Malta
Niliondoka tarehe 12 February na Qatar air na kufika tarehe 13 Malta airport na baada ya taratibu zote za uhamiaji
Nilifanikiwa kukutana na mwenyeji wangu,akiwa ameambatana na mabinti wawili na Kijana wa kiume mmoja
Waliponipokea walinipeleka resting point moja karibu na airport na kuagiza vinywaji fulani hivi,sikupata ladha ya kile kinywaji ,nikakataa na kuagiza soda
Wakiwa wanaongea kiingereza kidogo wakichanganya kilugha fulani, nilihisi kama kijana wa kiume hakufurahishwa mimi kufika kuonana na binti huyo, wengine wa kike wenyewe walikuwa wanafurahi kuona shemeji yao
Binti Sarah ambaye ndiye mwenyeji wangu alinikaribisha vizuri na niwe na amani na akaniambia wanaishi Saint Julian's hivyo ,tukanyenyuka tupanda basi ya kuelekea huko
Baada ya kufika huko licha ya kufika huko na kukaa na binti Sarah hotelini huko Julian's,makubwa yalipata baada ya siku tatu ,makubwa mnooo
Nahitaji daktari wa saikolojia anitibu ndo nije kuendelea na simulizi,nikipona nitakuja kuendelea ,kwa sasa sipo vizuri ...........