Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Sasa unachepuka na
Unashangaa mwanamke wako kuchepuka🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Wanaume michepuko sio dili mtakufa na ukimwi! Acha kujieleza sana nendeni
Kanisani mkatubu muacha umalaya na uzinzi mtakufa nyie🤣🤣 siri moja niwaambie wenzangu, hamna mwanamke atakugundua kwamba umetoka nje ya ndoa na hatakulipizia…. Wewe ndo umefungua huo mlango. Rudini kundini muendelee na maisha yenu muache utoto. Mtaja acha yatima
 
Lea wanao,nadhani huo ni msalaba wako,
Kuliwa analiwa ila watoto wakiwa alone unatengeneza bomu jingine.Watakuchukia sababu mama yao anaendelea kupanda sumu,mweke mbali kabisa na mashine yako,na pia inaonyesha unasafiri sana,hakikisha unalinda afya ya akili,ikikupendeza tafuta side chick utakuta nae ana mambo hayohayo,sii vibaya ukawa na wawili nae ajue ana mpinzani.
Utapima maji na unga uone kipi kinafaa.My friend Hawa wadudu anaweza hata kuliwa na gate man.Linda familia tafuta mpinzani wake wawe wawiki utakufa sababu ya nyama ya paja.Hao watu wako hivyo na na sisi pia tunawala sana Hawa watu,ishi humo.Hakikisha unalinda akili na kipato chako watoto wafikie malengo.
 
Hivi ndivyo kataa ndoa tunazidi kupata wafuasi zaidi

Wewe tafuta pesa tu hakuna kuoa malaya tena analiwa na wavuta bange huku wewe unayelilisha bado linakupa kwa kipimo wakati huko mwana mpaka yas anapewa.

Kataa ndoa 4
Wenye ndoa 0
 
Ukijua mkeo analiwa huwa inauma yaani hutakaa umwamini maisha yako yote hata akikuaga anaenda sehemu lazima uhisi tu kaenda kuchepuka.
 
Sasa isitokee anayemla ni ndugu yako, unapoteza ndugu (na wanandugu ikibidi) na mke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…