Yes mitaji mikubwa pia ana wasiwasi hata akipoteza mil 100 kwasababu baada ya miezi mi5 kashaipata tena ila sie hatuwezi kuwekeza hata mil 5 kwenye kilimo maana ukipoteza kuipata tena ni issue.
Kabisa ndio maana wana courage ya kuingiza mtaji hata wa m200 maana anajua hata ikipotea atapata nyingine,hiyo ndio siri ya mafanikio ya hawa watu,mtaji mkubwa ukitiki return inakuwa kubwa nayo.Akipoteza hio pesa anajipa safari za kutosha(per diem inaingia) akitoka hapo anaenda kupiga mikwara huko Tanapa fasta tu mtaji umerudi.
HJembe halimtupi mkulima , huu msemo umetamalaki sana hapa kwetu tz, lakini Mara kadhaa huwa unakuwaga na ukweli ndani yake.
Msimu wa 2018/19 nilijaribu kulima mpunga bahi hekari 5, japo nilikodi hekari 12 na kuzitifua zote kwa trekta, ila nikakumbana na ukame wakat napandikiza. Nilifanikiwa kuoandikiza mashamba matano tu, maji yakawa yameisha, hivyo nikawa Sina jinsi.
Si haba katika heka hizo tano nimeweza kurudisha mbegu, nimepata magunia 54, yenye ujazo wa debe saba Saba 7,7. Kiukweli nashukuru San mungu Kwan mwaka huu ulikuwa na changamoto sana. Wngine hawakuweza KUVUNA kabisa hata Lita moja.
Nimezidi kunifunza mengi katika kilimo ndugu zangu, wakati mm nimepata vigunia 54, Kuna mtu kapata migunia 400, na mwingine migunia 600, hivyo ukiwa kupanda uhakika wa kupiga pesa kupitia kilimo INAWEZEKANA.
Nimeona si haba niwaletee mrejesho wananzengo kwani Kuna baadhi ya wanajf walitaka mrejesho Mara baada ya kutoka shambani.
Picha hizi hapa.
View attachment 1148431View attachment 1148432View attachment 1148433View attachment 1148434View attachment 1148435View attachment 1148436View attachment 1148437View attachment 1148438View attachment 1148440View attachment 1148444
Kabisa ndio maana wana courage ya kuingiza mtaji hata wa m200 maana anajua hata ikipotea atapata nyingine,hiyo ndio siri ya mafanikio ya hawa watu,mtaji mkubwa ukitiki return inakuwa kubwa nayo.
Wazushi tu,Out of BOX kibao wakati wamepata fedha kwa njia za ujanja ujanja tu.Kweli mkuu,afu akitoka hapo anatwambia vijana to think out of the box wkt yeye anavuna ma per diem tu.
Kilimo cha umwagiliaji ndio mpago mzima kunarafiki yangu amelima heka 45 na amevuna gunia 1650 ikimaanisha kila eka imetoa gunia 36Kwa maeneno mengine je?
Na he inawezekana kutumia kilimo cha umwagiliaji?
Aisee.hongeraKilimo cha umwagiliaji ndio mpago mzima kunarafiki yangu amelima heka 45 na amevuna gunia 1650 ikimaanisha kila eka imetoa gunia 36
Sio mimi bibieAisee.hongera
Ipo siku ntaingia huko
Nenda kabeti kwa mhindiKilimo nakiogopa
Habari Mkuu,ufuta umelima wapi....hongera na shukuru Mungu mana hali ya hewa ya mwaka huu ilikuwa si rafiki sana kwa mkulima..mm nimelima ufuta hk 2 nimepata mbegu kg kama 9 hv.
Mwakani ntajikita kwenye mpunga...
Hongera mkuu, shida ya kilimo hiki sehemu kubwa hapa nchini ni kutegemea mvua, kwa eneo la ukubwa huo ingekuwa kwenye skimu ya umwagiliaji ukapanda kwa nafasi shauriwa na ukaweka mbolea ya kukuzia ulistahili kupata wastani wa gunia 45-50 kwa ekari moja. Hivyo kwa ekari zako 5 ulizopanda ungevuna wastani wa gunia 225.Jembe halimtupi mkulima , huu msemo umetamalaki sana hapa kwetu tz, lakini Mara kadhaa huwa unakuwaga na ukweli ndani yake.
Msimu wa 2018/19 nilijaribu kulima mpunga bahi hekari 5, japo nilikodi hekari 12 na kuzitifua zote kwa trekta, ila nikakumbana na ukame wakat napandikiza. Nilifanikiwa kuoandikiza mashamba matano tu, maji yakawa yameisha, hivyo nikawa Sina jinsi.
Si haba katika heka hizo tano nimeweza kurudisha mbegu, nimepata magunia 54, yenye ujazo wa debe saba Saba 7,7. Kiukweli nashukuru San mungu Kwan mwaka huu ulikuwa na changamoto sana. Wngine hawakuweza KUVUNA kabisa hata Lita moja.
Nimezidi kunifunza mengi katika kilimo ndugu zangu, wakati mm nimepata vigunia 54, Kuna mtu kapata migunia 400, na mwingine migunia 600, hivyo ukiwa kupanda uhakika wa kupiga pesa kupitia kilimo INAWEZEKANA.
Nimeona si haba niwaletee mrejesho wananzengo kwani Kuna baadhi ya wanajf walitaka mrejesho Mara baada ya kutoka shambani.
Picha hizi hapa.
View attachment 1148431View attachment 1148432View attachment 1148433View attachment 1148434View attachment 1148435View attachment 1148436View attachment 1148437View attachment 1148438View attachment 1148440View attachment 1148444
Kilwa kuna kijiji kinaitwa likawage..Habari Mkuu,ufuta umelima wapi
Mkuu je mashamba wanakodishaje huko na gharama za kulima zikoje na uwa inastawi baada ya muda gani?Kilwa kuna kijiji kinaitwa likawage..
Heka moja imemgharimu kiasi gani mpaka kuvuna?Kilimo cha umwagiliaji ndio mpago mzima kunarafiki yangu amelima heka 45 na amevuna gunia 1650 ikimaanisha kila eka imetoa gunia 36
kule wanakodisha mashamba kwa kitu kinaitwa paddy.Heka moja imemgharimu kiasi gani mpaka kuvuna?
Mashamba yapo tu kuna ifadhi serikali ilitoa kwa ajili ya kilimo so vizur ukampata mwenyeji anakutafutia shamba..Mkuu je mashamba wanakodishaje huko na gharama za kulima zikoje na uwa inastawi baada ya muda gani?
Kalima eneo lipiKilimo cha umwagiliaji ndio mpago mzima kunarafiki yangu amelima heka 45 na amevuna gunia 1650 ikimaanisha kila eka imetoa gunia 36
MbeyaKalima eneo lipi
Hongera, lakini huwa naona wafanyabiashara wa mazao ndo wanatajirika sijawahi kuona mkulima akitajirika.