Mrejesho: Kuagiza rice combine harvester toka China

Watanzania tulivyo wehu, wengi wetu tunatumia kiasi kama hicho kuagiza Mark II na shughuli zako ni ajira ya take home less than 2 Million!
Ni priorities tu mkuu, wote tuna macho ila kila mtu anaona vitu tofauti.
 
Ok. Ahsante sn. Ubarikiwe ndg. Kila la kheri.

Baada ya hapo nunua mashamba huko ulime mwenyewe na ununue trekta. Muda si mrefu utakuwa Bhakressa.
 
Vipi umenunua na kusafirisa toka katika kampuni gani? na jina halisi la hizo za mkanda(zisizotumia matairi) zinaitwaje kwa kizungu.
 
12000$×2100 tsh=25,200,000tsh.
Unapoandika 3.5 nafikiri unamaanisha 3,500,000.Hivyo mpaka sasa umetuchanganya na wanaofikiri wamekuelewa bado hawajakufuatilia vizuri,plz bwana IPYAX sahihisha hapo tujue
 
12000$×2100 tsh=25,200,000tsh.
Unapoandika 3.5 nafikiri unamaanisha 3,500,000.Hivyo mpaka sasa umetuchanganya na wanaofikiri wamekuelewa bado hawajakufuatilia vizuri,plz bwana IPYAX sahihisha hapo tujue
 
Mkuu samahani,hizi gunia 30 kwa heka ni za mpunga ama mchele namaanisha baada yakukoboa?
 
Asante mkuu ila pia maamuzi magumu ili yafanyike ni lazima utoke katika comfort zone. Mjini kuna fursa nyingi na bata pia ila shamba kuna fursa kubwa zaidi na uamuzi wa kuhamisha kambi kwenda bush sio rahisi hata kidogo.
Waambie mkuu wazee wa Pool Table
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…