Mrejesho kuhusu kupima DNA za watoto wangu

Mrejesho kuhusu kupima DNA za watoto wangu

Teslarati

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2019
Posts
2,621
Reaction score
10,466
Miezi kadhaa imepita niliandika uzi humu nikasema nitaenda kupima DNA watoto wangu.

Nilipatiwa muongozo kwenye ule uzi na baadhi ya wanasheria/mawakili waliomo humu ikabidi kumjulisha wakili wangu akasema inawezekana na ni rahisi sana.

Nashukuru nimekuta mabao yote ni yangu, I felt like Messi for a while, hahahahahaaa.

Naendelea kuwashauri wanaume wenzangu kuzingatia kupima DNA za watoto wenu, kulea mtoto asie wako watakuja kukuletea shida ukubwani.

Ciao
 
Miezi kadhaa imepita niliandika uzi humu nikasema nitaenda kupima DNA watoto wangu.

Nilipatiwa muongozo na baadhi wa wanasheria waliomo humu ikabidi kumjulisha wakili wangu akasema inawezekana na ni rahisi sana.

Nashukuru nimekuta mabao yote ni yangu, I felt like Messi for a while, hahahahahaaa.

Naendelea kuwashauri wanaume wenzangu kuzingatia kupima DNA za watoto wenu, kulea mtoto asie wako watakuja kukuletea shida ukubwani.

Ciao
Kuna kipindi mkemia mkuu wa serikali alisema asilimia kubwa ya wanaopima watoto wanakua sio wao ila wanaambiwa ni wao ili kupunguza watoto wa mtaani.
 
Miezi kadhaa imepita niliandika uzi humu nikasema nitaenda kupima DNA watoto wangu.

Nilipatiwa muongozo kwenye ule uzi na baadhi ya wanasheria/mawakili waliomo humu ikabidi kumjulisha wakili wangu akasema inawezekana na ni rahisi sana.

Nashukuru nimekuta mabao yote ni yangu, I felt like Messi for a while, hahahahahaaa.

Naendelea kuwashauri wanaume wenzangu kuzingatia kupima DNA za watoto wenu, kulea mtoto asie wako watakuja kukuletea shida ukubwani.

Ciao

Una uhakika ni wakwako kweli!?
Wacha nisikuondolee raha zako🤣🤣🤣
 
Hii ni chokochoko ambayo binadamu haiwezi
Safari moja ya kupima huanzisha safari nyingine ya wengine kuthubitisha
Hiyo ni roho ya ubinafsi, na inaweza fanya mtoto kuwa mnyonge hata kupunguza upendo, katika maisha ya dunia hii hakuna ajuae kesho.. unachoweza kukitaa leo kumbe kesho kimeandaliwa kuwa kama daraja kwako... Siwezi mpima mtoto DNA .. mtoto anapotungwa mimba hakuna alichopanga anazaliwa tu hana makosa awe wako au sio wako
 
Back
Top Bottom