Baraka DSM
Member
- Sep 12, 2017
- 68
- 76
Napenda kutoa mrejesho kama ifuatavyo...
Walijitokeza wasichana karibia wanne kule PM, nilifanikiwa kuonana na mmoja infact ni mwanafunzi ila hakuwa serious kabisa within two days alishaonesha dalili za kuwa mjanja sana kuliko maelezo kwa maana alionekana mswahili sana kwahyo tukaishia hapo.
Hadi sasa sijapata bado... inaonekana ukiwa serious wengine wanazingua.
Walijitokeza wasichana karibia wanne kule PM, nilifanikiwa kuonana na mmoja infact ni mwanafunzi ila hakuwa serious kabisa within two days alishaonesha dalili za kuwa mjanja sana kuliko maelezo kwa maana alionekana mswahili sana kwahyo tukaishia hapo.
Hadi sasa sijapata bado... inaonekana ukiwa serious wengine wanazingua.