Wakuu, week kadhaa nyuma niliomba ushauri juu ya ramani yangu ya kwanza.
Refer uzi huu hapa:[emoji116]
www.jamiiforums.com
Wengi wenu mlinishauri, na mapendekezo yenu niliyachukua na kuyafanyia kazi na kuboresha ile ramani kwa kuzingatia ushauri wenu.
Baada ya kufanya maboresho, nawaletea kwenu mniambie, kuna ambacho hakipo sawa kwenye hii ramani cha kurekebisha?
View attachment 2540686
Refer uzi huu hapa:[emoji116]
Naombeni mawazo yenu kuhusu hii ramani ya nyumba yangu
Wakuu mambo vipi. Nina ramani ambayo nimeandaa kwa ajili ya kujenga nyumba ya vyumba vitatu.(1 master bedroom + 2 normal rooms). Nyumba itapauliwa kwa mtindo wa Hidden Roof a.k.a contemporary Naombeni mawazo yenu juu ya hii ramani. Nini cha kuboresha? Nini kimekosewa/hakijakaa sawa? Nini...
Wengi wenu mlinishauri, na mapendekezo yenu niliyachukua na kuyafanyia kazi na kuboresha ile ramani kwa kuzingatia ushauri wenu.
Baada ya kufanya maboresho, nawaletea kwenu mniambie, kuna ambacho hakipo sawa kwenye hii ramani cha kurekebisha?
View attachment 2540686